Kobe Bryant dies in a plane crash

Kobe Bryant dies in a plane crash

Us basketball legend Kobe bryant amefariki kwenye ajali ya helicopter huko California,watu watano wamefariki kwenye ajali hiyo akiwemo Kobe bryant,Kobe aliretire April 2016 the Five-time NBA champion,
career yake ndani ya miaka 20 alichezea team ya Los Angeles Lakers,Kobe Bryant alizaliwa mwaka 1978,

HEROS COME AND GO
BUT LEGENDS ARE FOREVER,

R.I.P
Legend.
 
81791375_1535152806648778_321771770921342350_n.jpg

stephencurry30 A lot of questions right now. Our faith is being tested...but all I can say is thank you 🙏🏽. May you and Gianna rest easy!
 
Dah! Hii habari imenifanya nikose usingizi leo. One of the Saddest News in the history of basketball. Rest Easy Champ.
The G.O.A.T alifanya makubwa he was good on three points.
Harden wangu ananiangusha
 
Umelia[emoji44][emoji44]. Mimi imeniuma lakini kufika hatua ya kulia mbali mno kwa mtu ambaye sifahamiane naye wala hagusi maisha yangu
Wewe sio die hard fan wa BBall my friend if you grew up watching this immortal hakika usingeandika haya
 
Everybody knows that
First of all, how do you know everybody knows that?

Some kids are just finding out who Kobe Bryant is today.

Do not assume everybody is the same as you.

Second of all, in my original post, I did not say everybody doesn't know that and this is some groundbreaking research paper that is going to earn me a Nobel prize.
 
Huyu ni mmoja wa kizazi kilicho fata baada ya wale nguli kina Jordan Karl malone na nduguye moses bila kumsahau sir Charles barkley hakeem olojuwon magic Johnson Larry bird Patrick ewing duh kifo tunatembea nacho
 
Back
Top Bottom