Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Nilienda Immigration kuomba passport wakaniambia nilete ushahidi wa safari nkawambia naenda kushiriki maziko ya Kobe Bryant sasa kama wamezika kimya kimya si ntanyimwa pass wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nandio maana week ilioisha kama ulifuatilia walichunguza wakasema itachukua miezi 17 kama sikosei kujua nn kilikuwa chanzo cha ajali hiyo bado wanaendelea kuchunguza mpaka hiyo mienzi itakapoisha watakuja na jibu kamili.Mmmh,mbona mkuu niliona YouTube ile helcopter inawaka moto kabisa na ikateketea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu[emoji120]Hapana nandio maana week ilioisha kama ulifuatilia walichunguza wakasema itachukua miezi 17 kama sikosei kujua nn kilikuwa chanzo cha ajali hiyo bado wanaendelea kuchunguza mpaka hiyo mienzi itakapoisha watakuja na jibu kamili.
Mazishi yanatakiwa hivi ,sio kusumbua watu,
Wazungu hata huko america , maiti inazikwaga hata na watu watatu ,
Watu waendelee na shughuli nyingine , Sio kuzungusha maiti mwezi mzima , hizi mambo utazikuta Africa
Unajua maana ya debrisHivi waliungua wakabaki majivu or mwili ulibaki?
Jamani nijibuni wadau[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepata mazishi.Kweli Mkuu! Hebu fikiria wale walokuwa wanabishana namna ya kumzika Mzee Mugabe wamepata nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kifusi mkuu? Au naomba unieleweshe basiUnajua maana ya debris
Kuna Mzee mmoja jirani yangu, Mr. Kelly.Mazishi yanatakiwa hivi ,sio kusumbua watu,
Wazungu hata huko america , maiti inazikwaga hata na watu watatu ,
Watu waendelee na shughuli nyingine , Sio kuzungusha maiti mwezi mzima , hizi mambo utazikuta Africa
Mabaki ndivyo walivyookotwa kina Kobe
[emoji25][emoji25][emoji25]Mabaki ndivyo walivyookotwa kina Kobe