Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Sasa mkuu si atakugonga mara nyingi sana ukibaki hapoMkuu ukiumwa na Koboko usikimbie wala ku-move sababu circulation ya blood kadri inavyozidi ndiyo sumu inavyosambaa mwilini, so ukiumwa na ukatulia same place unaweza kufikisha walau 2 to 3 hours kabla hujafa.
Lakini jibu alilonipa Babu lilikuwa ni moja tu " Ni mwiko kuondoka eneo ambalo umeumwa na koboko" bila kutoa maelezo zaidi.
Ha ha ha ha hii ni dharau kubwa sana, sawa sawa na mtu akugongee mkeo na binti yako halafu kwakoView attachment 770347
Boomslang na mlo wake uliokwama kwenye koromeo amekuwa mlo wa Nguchiro teh teh.
Wazuri kama niwafuge mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] ati nini mkuu?Kifutu ni kitu tofauti kabisa..puff adder kwa kiswahili
Huyu nyoka hupenda kuishi chini ya ardhi mvua kubwa zinaponyesha hutoka na kuzagaa ndipo watu hufikiri hana sumu na kumshika.Ugly one[emoji33]
Kuna Nyoka wa aina nyingi sana,kuna wengine wanang'ata bila kudunga sumu,kuna wenye mild venom,kuna dry bite, na kuna wengine sumu yao ni inaitwa two steps to death..guess what huyo ndio Koboko.Wataalam tusaidieni huduma ya kwanza ni ipi unaoumwa na nyoka
Mungu mkubwa aisee, ndo wanasema unatakiwa ufanye hivyo ukimuonaHuko nyumbani kuna kijiji kinaitwa Koboko kutokana na huyo nyoka.. Kila mara lazima usikie mazishi, chanzo ni koboko.. Nilikuaga nasikia stori zake tuu, ila sikumtilia maanani..
Siku hiyo natoka sehemu fulani nikakatiza kwenye hicho kijiji ili nitokee kijiji chetu, kuna kanjia kanakatiza msituni na mto.. Sina hili wala lile, narusha mikono huku na kule natembea kwa raha zangu..
Hamadi!! Mita kama 4-5 toka nilipokuwepo nikamuona koboko rangi ya kijivu na weusi katanda njiani.. Alivyoniona akatulia kwanza, akanicheki huku akijiinua taratibu huku ulimi wake ukiwa unacheza cheza na domo lake leusi..
Aiseee, jasho lilitoka kama mvua, vinyoleo vyote vilisisimka nikaona mwisho wa maisha ndio leo..
Tukawa tunaangalia, sikupepesa hata jicho wala kusogeza kiungo chochote, nae akawa katulia tuu ananiangalia..
Nikaanza kusali sala ya Baba yetu moyoni na sala ya toba juu.. Tulikaa hivo kama dakika 5-10, nikaona huyo anaanza kujisogeza mdogo mdogo na kuingia machakani..
Nilitulia pale hadi akapotelea huko msituni, nikamwongezea dakika zingine ili afike mbali.. Nilichomoka hiyo spidi, breki ya kwanza kitandani na usingizi juu.. Haikuisha hata mwezi nikasikia kuna mtu tayari kashakobokolewa..
huu hapa. Nyalandu alikua anachekeshaMjomba sio chumvi ni kweli kabisaa koboko hata uwee na silaha moto na mpo wengi wote mnakula doziiii hata muende maji ya kuwasha,mabomu ya machozi, risasi za moto mapambano yake si ya kitoto.
Kuna uzii nautafutaa waziri nyalandu akiwa waziri wa maliasili alituma kikosi maalumu cha kupambana na koboko vita yake ilikuwa sio mchezoo huo uzi ulishawahi kuwekwa humu ngoja nitauweka kuna watu walikuwa wanatoa ushuhuda kuhusu mapambano yake
Hahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijui wanaongea lugha gani hawa
Yaan usikute ndio lililomdanganya na Eva kule bustaniniJoka hili lina roho mbaya acha, wakati mwingine najiuliza kwa nini liliumbwa,
Likiona mtu linawaza kuua tu hata kama halijachokozwa, pambaf kabisa