Alipenda tena kumalizia na mate akiitamka kiaustralia like mait.Nilimpenda sana kwa mbwembwe zake alikuwa anapenda kusema Crikey
Alianza bado mdogo sana akicheza na mijusi na aliipenda kazi yake
He was enjoying every bits
Watoto wake they must be very proud
Hapo nakubaliana kbs na ww, mikwaju ni miti hatari sana kwa huyu kiumbe.Kuna mti kama mkwaju anapenda sana kupumzika kwenye huo mti, na sasa msimu wa mantonga tayari, wawe makini sana
Akina dada hata angekatisha mende au jongoo napo ungepiga yowe tuHata simjui ila ni Hawa nyoka weusi, cha ajabu ktk lile yowe kalikuja ka kijana kadogo ndio kakapambana nae.
Nyoka yoyote akijikoboa hutoa harufu ya mpunga tena ule bado haujakomaa ghalani ukiwa unapikwaKuna wale nyoka wanaonukia harufu ya wali, sijui wanaitwaje.
Ahahahaha bhana si kweli, mi nge ,mende wala hawanipi shida. Tatizo huyo jamaa alikuwa anaingia ndaniAkina dada hata angekatisha mende au jongoo napo ungepiga yowe tu
Nishakutana nao kama mara 2 serengeti anapitabzake, unasimama akishapita mnaendelea na safariHapa nimeelewa sasa kumbe koboko ndo black mamba...
Aloo picha tu inatisha sijui kukutana naye inakuwaje
Anhaaa , tushakutana sana na hizo harufu enzi za kusenya kuni porini.Nyoka yoyote akijikoboa hutoa harufu ya mpunga tena ule bado haujakomaa ghalani ukiwa unapikwa
Kuna ile iliyokaa kama mkaa, ukitaka kujua kama ni real unaiweka kwenye ulimi, inaganda kama sumaku, mpaka uigandueMimi hizi dawa za nyoka, mjomba wangu, anazo, ila mimi sijahi hitaji kwa kujivunia tu tunaishi mijini.
Kama mimi tuMimi hata story tu za hao wadudu hua nasisimka.. Sipendi kabisa!
Mmmmhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha..Bundi pia hutumia nguvu fulani za giza,nilikuwa naangalia Video ya mambo ya wild nikamuona bundi mkubwa kasimama chini kabisa halafu mbweha anazunguka kumtafuta hata hamuoni.
Kuna wapuuzi siasa ilishawaharibuKila mbabe na mbabe wake!.
Koboko vs bundi
Jiweee vs Mange
[emoji23] [emoji23]Kuna viumbe wa ku study lakini sio hawa washenzi aseee
DuhKoboko hata ukimkata vipande viwili anao uwezo wa kugonga kwa muda mrefu.
Lakini uhai na pozi si vinapotea hamu inatoka wapi ya kugonga/kumeza huku anakufa?Ile sumu yake inatokea kwenye kitu kinaitwa fang's ambayo iko mdomoni haitoki kwenye kiwiliwili
Aliuwawa na samaki anaitwa taa, au wenzetu wanasema sting ray, alimdunga na mkia wake kifuanisio shark mkuu...sikumbuki ni samaki gani lakini sio shark,lol