[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Hamna vivutio hapo, kuna shida tu
Ila bahatini kuna samaki wana sumu kali huyu taa akasome
Jellybox fish naskia ni noma, eel fish na mkunga nae
Yuko yule Barefoot Australian mimi namkubali sana ila hajawahi kuja huku Afrika.Duu unamkumbuka huyo jamaa sijui wa Shropshire
Aling'atwa bila kutegemea kwenye kiatu
Uzee umemtupa
NakubaliHii Mada ina mchanganyiko sana wa aina za nyoka, black mamba ni nyoka Mwenye aibu "mstaarabu", hukimbia watu, na asilimia kubwa ya nyoka waliopo Tanzania has a maeneo ya joto ni hawa, ila akidhani amezingirwa hushambulia kwa kujihami, ana sumu mbaya sana, lakini huyu sio koboko, cobra wala kifutu, Mara nyingi ana rangi ya kijivu, asubuhi unaweza za kumuona anaota jua njiani akikuona anajifungua taratibu na kuondoka.
Hawa wanaosema wanakimbizwa na nyoka huyo ni cobra, cobra hata kama ametotolewa Leo atazuia njia usipite, yuko tayari kufa kuliko kukimbia, akiwa Mkubwa anaweza kukimbiza kundi la watu.
Sasa watu wamechanganya koboko na black mamba ambaye ni nyoka anayepatikata kila mahali
Sasa hapa nimekuelewa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Iko youtubeAlikuwa anajua atakuja uliwa na wanyama tu
Kila wakati alikuwa anasisituliza waendelee kurekodi tu
Mpaka siku anachomwa na taa video yake ipo unaweza kuiona ingawa mwanzo waliificha
Sijaelewahttps://youtu.be/vnSegu4A5U
Video ya kifo cha Steve Irwin.
Kuna sifa ni kweli anazo lakini wamezidi kumpamba kama ujuavyo sisi waswahili.... eti nyoka anadandikia gari ipo speed 80 na anakaa kwenye chassis anasubiri ufike nyumbani upaki gari ndipo nae ashuke ili akugonge.... hahahahahahahahaWe muongo sana, nilikuwa nakuamini mwanzo
Niliiona na siku alipokufa walionyesha kidogo sanaIko youtube
Kama huyuNasikia usiku anawika kama jogoo kwenye mapori manene
Anglia vizuri clip yenyewe imeruhusiwa na familia,Steve mwenyewe anaonekana alipodungwa tu wakaikata.Sijaelewa
Kiukweli Koboko ni mmoja katika nyoka wenye sumu kali duniani (sio wa kwanza)Kuna sifa ni kweli anazo lakini wamezidi kumpamba kama ujuavyo sisi waswahili.... eti nyoka anadandikia gari ipo speed 80 na anakaa kwenye chassis anasubiri ufike nyumbani upaki gari ndipo nae ashuke ili akugonge.... hahahahahahahaha
Mmemdecorate sana huyu nyoka....
Imaginary creatures,hahaha..Kama huyu View attachment 777129
Umeona eeImaginary creatures,hahaha..
πππππ kunawengine kwenye vijiwe vya kahawa mpaka wananunuliwa chupa nzima ya kahawa..hahaahaMaana ataongeza Mara 100 halafu ataapa na kuapa kuwa kaona video kabisaaa
Walahi kweli yako wapoπππππ kunawengine kwenye vijiwe vya kahawa mpaka wananunuliwa chupa nzima ya kahawa..hahaaha