Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Ila bahatini kuna samaki wana sumu kali huyu taa akasome

Jellybox fish naskia ni noma, eel fish na mkunga nae
Tripedalia 1.jpg

Kitu hicho na wahanga wake hapo chini.
chinese-man-box-jellyfish-sting.jpg

Huyu Mchina alijipendekeza aliponea chupuchupu
Baada ya kukaa kwenye Coma wiki moja.
TCH_07-04-2010_FRONT_PAGE_01_0704mattgreenbury_fct500x308_ct677x380.jpg

Huyu muaustralia yuko kwenye Coma baada ya kumshika Box jellyfish.
 
Hii Mada ina mchanganyiko sana wa aina za nyoka, black mamba ni nyoka Mwenye aibu "mstaarabu", hukimbia watu, na asilimia kubwa ya nyoka waliopo Tanzania has a maeneo ya joto ni hawa, ila akidhani amezingirwa hushambulia kwa kujihami, ana sumu mbaya sana, lakini huyu sio koboko, cobra wala kifutu, Mara nyingi ana rangi ya kijivu, asubuhi unaweza za kumuona anaota jua njiani akikuona anajifungua taratibu na kuondoka.

Hawa wanaosema wanakimbizwa na nyoka huyo ni cobra, cobra hata kama ametotolewa Leo atazuia njia usipite, yuko tayari kufa kuliko kukimbia, akiwa Mkubwa anaweza kukimbiza kundi la watu.

Sasa watu wamechanganya koboko na black mamba ambaye ni nyoka anayepatikata kila mahali
Nakubali
 
We muongo sana, nilikuwa nakuamini mwanzo
Kuna sifa ni kweli anazo lakini wamezidi kumpamba kama ujuavyo sisi waswahili.... eti nyoka anadandikia gari ipo speed 80 na anakaa kwenye chassis anasubiri ufike nyumbani upaki gari ndipo nae ashuke ili akugonge.... hahahahahahahaha

Mmemdecorate sana huyu nyoka....
 
Kuna sifa ni kweli anazo lakini wamezidi kumpamba kama ujuavyo sisi waswahili.... eti nyoka anadandikia gari ipo speed 80 na anakaa kwenye chassis anasubiri ufike nyumbani upaki gari ndipo nae ashuke ili akugonge.... hahahahahahahaha

Mmemdecorate sana huyu nyoka....
Kiukweli Koboko ni mmoja katika nyoka wenye sumu kali duniani (sio wa kwanza)

Ni nyoka mrefu zaidi mwenye sumu Africa na wa pili kwa urefu duniani.(Kwa wenye sumu)

Ana mbio kuliko nyoka wote duniani
Sasa sifa zote hizo alizonazo unafikiri watu wataacha kuongeza na chumvi

Kuna mdau kaandika humu kuwa ana uwezo wa kugonga watu 120 duuu nikajiuliza kuna habari zingine atazisoma humu akienda kijiweni watamkoma
Maana ataongeza Mara 100 halafu ataapa na kuapa kuwa kaona video kabisaaa
 
Back
Top Bottom