Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

we uji kweli...unatoka povu bila hoja, usibwabwaje..toa facts. naona unapenda kuhororoja tu kishoga

Mbona unaamua kuweka CV yako hapa mie nimefunzwa hiyo tabia kwangu mwiko acha kunitongoza
Maneno yote uliyoyasema wanawake ndio wanayasema na hao mashoga wenzio
 
Wadogo kivipi? Wakati wanameza hadi kasuku.

Hapana mkuu, kwa size Green ni mdogo kulinganisha na Black...nawajua vizuri sana hawa nyoka, nimeishi na kufanya kazi kwny hifadhi za taifa kwa mda mrefu...

Kitu kimoja fahamu, si kila nyoka wa kijani ni mamba, wapo wengi wengine ni wakubwa sana kulinganisha na Green Mamba,
 
Mbona unaamua kuweka CV yako hapa mie nimefunzwa hiyo tabia kwangu mwiko acha kunitongoza
Maneno yote uliyoyasema wanawake ndio wanayasema na hao mashoga wenzio
Mh!mmefikia hatua hii,kaeni meza moja kupitia PM myamalize bhana.
 
cobra kiswahili ni swila.watu wabishi na hawajui sasa ukishindana na wahasibu au engeneer ni ngumu kuelewana maana hata identification hawajui.

mkuu
kuna black mamba,cobra and python please tofautisha kwa picha
 

Nyoka analia Kuwait Kuwait lazima huyo nyoka atakuwa mwarabu
 

Vipi Wakati Unamuua Ushirikiano Wako Wa Ubongo Na Haja Kubwa ULIKUWAJE?
 
Mhhh mbona namuona kama wa kawaida tu?
Akija napigana nae tu

Ana uwezo wa kuuwa watu 12 kwa sekunde chache tu, sio nyoka hata wa kumuota huyo ni balaa na very aggressive akikuona lazima akukimbize na ana speed sana, nilimuona akifukuza panya kwenye matuta yeye alikuwa anapita juu ya matuta imagine that
 
cobra kiswahili ni swila.watu wabishi na hawajui sasa ukishindana na wahasibu au engeneer ni ngumu kuelewana maana hata identification hawajui.
Bomouwa hapa tunajadili tafsiri za majina ya Nyoka toka kwenye kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Sioni hii hoja ya ubishi wa wahasibu na maengineer inaingiaje hapa. Wewe kama una hoja na ushahidi wa kutosha kuhusu ubishi wa wahasibu na maengineer anzisha thread yake tuchangie hoja zako.
 
kilo tatu...duuuuuh
 

Kama anauwezo wa kusance joto umbali wa mita kumi ni rahc sana kuktaim,sasa kama unaish sehemu walipo itz better kuvaa element za pikpik na long boots kama wakwea milima.
 
Maelezo ya jamaa hata km sio sahh lkn ni professional...ww unaongea kishabiki, kibabe, bila hoja zaidi ya kashfa....curse u
hapa ndiiyo shida ilipo. hatuwezi kuingizwa chaka kisa anayetuingiza ni professional.
 
Kwa Jinsi Mlivyoniogopesha Sasa Naandika Huku Miguu Yangu Nimeipandisha Mezani Na Nilikuwa Nina Mpango Wa Kwenda Kuoga Lakini Nimeusitisha Kidoooooooooooooogo Hadi Nijipange Upya Tena.
kuwa makini mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…