Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Huku singida ni wengi sana hasa black mamba wanapenda kukaa kwenye mibuyu.wanapenda kutoka asubuhi kwenda kuwinda hasa panya na jioni huludi kulala njia yake ni ileile. maranyingi ukikuta kafunga barabara madereva huwa wanamuacha avuke. anlisha wahi kuua ng'ombe kama kumi ndaniya dk tatu.ninyoka mpole kama hajachokozwa ilaakichokozwa eneo alipo nihatari mwezi mzima.nihayo tu!
 
Huku singida ni wengi sana hasa black mamba wanapenda kukaa kwenye mibuyu.wanapenda kutoka asubuhi kwenda kuwinda hasa panya na jioni huludi kulala njia yake ni ileile. maranyingi ukikuta kafunga barabara madereva huwa wanamuacha avuke. anlisha wahi kuua ng'ombe kama kumi ndaniya dk tatu.ninyoka mpole kama hajachokozwa ilaakichokozwa eneo alipo nihatari mwezi mzima.nihayo tu!

Akifunga barabara kwani si unapitia na tyre tu? Au hafi akikanyagwa na tyre?
 
Ilitoke mwaka 2004 sehemu inaitwa gilai karibu na lake natron . Huyu docta alikuwa anaenda kutibu kwenye maboma ya wamasai bahati mbaya gari likaharibika ikabidi ashuke kurekebisha ndio kwa bahati mbaya akakutwa na huyu nyoka... Hawa nyoka wanapenda sehemu zenye joto.

Kanda ya ziwa na mikoa ya kusini, kwa mikoa ya kusini anaitwa NKOLOWONJI. Ni noma sana huyu jamaa matukio yake nahisi ana IQ kubwa sana hasa timing zake. Ngoja niende google kumjua zaidi

Shukrani kwa taarifa.
 
Huku singida ni wengi sana hasa black mamba wanapenda kukaa kwenye mibuyu.wanapenda kutoka asubuhi kwenda kuwinda hasa panya na jioni huludi kulala njia yake ni ileile. maranyingi ukikuta kafunga barabara madereva huwa wanamuacha avuke. anlisha wahi kuua ng'ombe kama kumi ndaniya dk tatu.ninyoka mpole kama hajachokozwa ilaakichokozwa eneo alipo nihatari mwezi mzima.nihayo tu!


Ukanda huo wa singida , tabora na dodoma lazima wawepo maana ile hali ya joto na ukame ndio nyumbani kwake
 
Kuna kipindi mtandaoni niliona kua storry ya nyoka mubwa alokuwa akipatikana hukoisr chini ya habar ile ile story ilikaa kama imagneationa flan ivi naombawenye kujua lolote anipe ufham

itakuwa ni zile story za majoka makubwa yanayo "nyakuliwa" kwenda juu toka baharini,ambazo hata mimi niliwahi kusimuliwa.
 
Kuna kipindi mtandaoni niliona kua storry ya nyoka mubwa alokuwa akipatikana hukoisr chini ya habar ile ile story ilikaa kama imagneationa flan ivi naombawenye kujua lolote anipe ufham

Ni hofu ya nyoka au ushaumwa maana daaaanh!!!
 
Mwongo mkubwa wewe, black mamba huyu hapa chini anakuangalia na kukushangaa kwa kumsingizia ukubwa asiokuwa nao, yeye ni mdogo tu, urefu wasitani futi 9; uzito wasitani kilo 2, ila ni mmoja kati ya nyoka wenye sumu kali namba 6 duniani, anapandisha hasira sana mara akishachokozwa au kitishiwa, na ni nyoka aendaye spidi kubwa kuliko wote duniani (20 km kwa saa). Huku kwetu mkoani Katavi wanaonekana mara kwa mara, na hawafugiki !!!

View attachment 190535

ndo mwenyewe huyo akawii kusimamia mkia!
 
Wakati flani huko Zimbabwe Black Mamba alikua amekaa barabarani , huku akiwa ameachama mdomo, mdomo ulioanzia upana kutoka upande mmoja wa barabara hadi upande wa pili , gari Land-rover 110 likiwa safarini lilipofika hapo alipo nyoka , dreva alidhani kafika kwenye Tunel (njia ya chini kwa chini)
Akailengesha gari domoni mwa nyoka !
Na ndy gari ikawa imemezwa na wasafiri wake wa 5 (watu) haijawahi patikana gari wala watu!
Mwaka wa 10 sasa!

Nirudishie chenji yangu.
 
MAMBAS ni aina ya nyoka wakali wapatikanao ktk dunia ya leo.
Ni nyoka wenye sumu kali na wenye kasi ktk mwendo na wana sifa ya kutaga mayai (oviparous).
Kuna aina mbili za mambas :
1>GREEN MAMBAS.
2>BLACK MAMBAS.
Green mamba wanasumu aina ya NEUROTOXIC na HAEMOTOXIC.
Wanaishi miaka 12 hadi 14 (makadirio kulingana na takwimu za sayansi) wanataga mayai na kuanguliwa kwa siku 80 hadi 90.
BLACK MAMBA pia wanauwezo wa kupanda miti wakati wakitafuta chalula na wanaurefu kati ya sentimita 220 hadi 320.
Ni kati ya nyoka wenye sumu kali wapatikanao Afrika.
Wanataga mayai kati ya 12 na 18,na kuangua kati ya siku 80 hadi tisini.
Mambas ni nyoka wakali na wenye kung'ata zaidi ya mara moja kwa sababu meno yao hayang'ooki wakti wakigonga kitu.
Meno yanayong'ooka kwa nyoka yanaitwa FRONT FANGED MOVABLE na yasiyong'ooka yanaitwa FRONT FANGED FIXED.
Iwapo nyoka huwa wata kung'ata utaweza kuishi kati dakika 20.
(kama unafahamu mengine kuhusu nyoka unaweza kutuhabarisha zaidi)
maoni/ushauri: iddyallyninga@Gmail.com
Black na Green mamba ni kweli wote wana sumu kali sana lakini ni kati ya nyoka waoga na wapolea sana duniani,namaana gani?ni nadra sana kukutana na black mamba,yeye akikiuona anakukwepa,jificha au akimbie,otherwise umkanyage au umguse!...hawa kule moshi kipindi cha baridi wanakimbiliaga ndani ya nyumba,kama hamna tiles au carpet atajificha huko ndani na itakuwa nadra sana kumuona na anaweza toka akaishia zake hata baada ya miez bila nyie kujua,green mamba moshi ndio wako wengi,haswaa baada ya kilimo cha kahawa kuporomoka,yale madawa tuliyokuwa tunapiga shambani yalikuwa makali na nyoka walikuwa hawakai,lakini sasa hivi ikifika saa sita mchana upande mahali pa juu ili uione fensi yenu ya buganvilia kwa juu lazma umuone ''ISALE'' kama wachaga wanavyomuita,anafanana sana na majani na ukimuona dk,ya pili anakupotea,kuna jamaa alimkanyaga usiku black mamba akamuuma,hakufa,tulichukua wembe fasta tukamkata kidogo kidogo eneo alilongatwa alafu jamaa mmoja akavuta kwa mdomo kama mara ishirini ivi tukamuwaisha hospitali usiku ule kufika baada ya kama 2hours mguu umevimba kweli lakini alipona!...cha msingi ukiumwa na nyoka jitaidi kujua ni nyoka aina gani amekuuma sababu sumu zao zinatofautiana na tiba ni tofauti!
 
mmh ila hapo kwenye uref wake m nadhan mkuu ume2pga kamba sm 220 had 320 mmh kama mita 2 had 3 ila m namjua kama nyoka mpole ambaye hapend kelele wala kuchukizwa huwa n nadra sana kuuma na anauma pale anapozibiwa njia yake(kwan huwa wanapita njia moja kila siku) au utakapompigia kelele au kumchokoza vinginevyo huwa anakupita kama hakuoni lakin kesi nying za walo umwa na nyoka huyu huwa n wale walomzbia njia alishawah kugonga ngombe sita huko kjjn kwe2 musoma wa2 kuamka asubuh wakakuta ngombe wote wamekufa ni hayo tu
 
Wakati flani huko Zimbabwe Black Mamba alikua amekaa barabarani , huku akiwa ameachama mdomo, mdomo ulioanzia upana kutoka upande mmoja wa barabara hadi upande wa pili , gari Land-rover 110 likiwa safarini lilipofika hapo alipo nyoka , dreva alidhani kafika kwenye Tunel (njia ya chini kwa chini)
Akailengesha gari domoni mwa nyoka !
Na ndy gari ikawa imemezwa na wasafiri wake wa 5 (watu) haijawahi patikana gari wala watu!
Mwaka wa 10 sasa!

mhh,ngumu kumesa
 
Black na Green mamba ni kweli wote wana sumu kali sana lakini ni kati ya nyoka waoga na wapolea sana duniani,namaana gani?ni nadra sana kukutana na black mamba,yeye akikiuona anakukwepa,jificha au akimbie,otherwise umkanyage au umguse!...hawa kule moshi kipindi cha baridi wanakimbiliaga ndani ya nyumba,kama hamna tiles au carpet atajificha huko ndani na itakuwa nadra sana kumuona na anaweza toka akaishia zake hata baada ya miez bila nyie kujua,green mamba moshi ndio wako wengi,haswaa baada ya kilimo cha kahawa kuporomoka,yale madawa tuliyokuwa tunapiga shambani yalikuwa makali na nyoka walikuwa hawakai,lakini sasa hivi ikifika saa sita mchana upande mahali pa juu ili uione fensi yenu ya buganvilia kwa juu lazma umuone ''ISALE'' kama wachaga wanavyomuita,anafanana sana na majani na ukimuona dk,ya pili anakupotea,kuna jamaa alimkanyaga usiku black mamba akamuuma,hakufa,tulichukua wembe fasta tukamkata kidogo kidogo eneo alilongatwa alafu jamaa mmoja akavuta kwa mdomo kama mara ishirini ivi tukamuwaisha hospitali usiku ule kufika baada ya kama 2hours mguu umevimba kweli lakini alipona!...cha msingi ukiumwa na nyoka jitaidi kujua ni nyoka aina gani amekuuma sababu sumu zao zinatofautiana na tiba ni tofauti!

mkuu sina uhakika sana upole wa hao green mamba, may be green mambas wa musoma na moshi ni tofauti kidogo na hawa walioko uelekeo wa mtr, lindi na msumbiji, ninamaanisha hawa walioko huku ni wakali sana na wakubwa, wanaweza hata kukukimbiza, naomba maelekezo zaidi kutoka kwa mtoa mada
 
Mmmmhhh aiseee hawa nyoka wanapatikana wapi hasa kwa hapa tz,makazi yao wanaopenda maana ni zaidi ya hatari,tiba ya haraka ya bite?

mkuu usiombe kukutana nao, wapo wengi misitu ya sikonge kwenye vichuguu, ukikutana naye akiwa amesimama mbele yaki usijaribu ujanja wowote hutaweza kumwahi, labda umwombe Mungu akupe ujasiri wa kutulia tuli hadi ashushe kichwa chini ndio ujaribu ujanja mwingine otherwise WAFWA, akikuuma kichwani sijui utafunga wapi
 
Mada nzuri sana. Nyoka ni the top feared creature by Jumong S.
Asanteni kwa michango mujaaarab kabisa.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wale tuliopitia mafunzo fulani ya porini porini, hawa nyoka ni kawaida kuwaona na kuwatofautisha ila haka ka mamba acha kabisa. Speed ya ku-bite ni kali mno.
Kuna mzee mmoja pale Msamvu anauza mawe ya kuvuta sumu ya nyoka, nadhani nitamshauri atembee na black au green mamba ili awe anatestisha then ndo aweke jiwe tuone ka linafanya kazi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom