Viongozi.Ndio hao wa chunya wapo pori la mbangala
Nazan ni mpaka uende Meserani snake parkBlack Mamba haina maana ni mweusi wapo wa kijani na rangi zinazoshabihiana na mazingira na bado ni black Mamba.
Kuna aina anuai za sumu za nyoka
1. 'Neurotoxin'
Hii ni sumu inayoathiri mfumo wa fahamu kwa maana ku paralyse mfumo mzima
Kwa lugha rahisi inakata mawasiliano ya mfumo mzima wa fahamu
Athari zake ni kauthiri mfumohewa na maeneo yanayotegemea mfumo wa fahamu kama moyo
Sidhani kama ni sahihi kusema kuna cardio-toxin, bali kuna sumu (venom) ambazo ni toxic kwa heart kwasababu ya kuingilia mfumo wa fahamu
2. Kuna 'Hemotoxin'
Sumu ya nyoka wa aina hii huathiri mfumo wa damu kwa kuingilia uwezo wa viwambo(membrane) kuzuia uvujaji wa damu maeneo ya mwili. Mwathirika huvuja damu
3. Cytotoxin
Hawa wanaathiri cells za mwili. Athari zake zipo eneo aliloumwa mwathirika.
Kama ni mkono haichukui muda utaona una malenge lenge, unaanza kuoza na kuathiri mwili kutokana na kidonda. Nyoka maarufu katika kundi hili ni kifutu
Ingawa kuumwa ni ajali na hakuna ajali nzuri, hata hivyo uwezekano wa mtu kupona unaanza na kundi la 3.
Ikitokea kuna ucheleweshaji wa mgonjwa, huenda akapoteza kiungo
Halafu ni 'hemotoxin' ambao wanatoa lau muda wa kutafuta mbadala kabla ya tamati
Kundi la kwanza ni baya sana 'linakata umeme' wa mwili. Nusu saa huwa muda mrefu
Katika haya ya nyoka yapo mengi sana ya kuelezwa
Swali tusilojiuliza ni 'je hospitali zetu zina anti-venom' ikitokea tatizo tatizo?
Umechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
wewe haumjui Koboko. Njoo tabora uwaone na umgonge na gari lako umefungua vioo ksma hatukuziki.Mwongo mkubwa wewe, black mamba huyu hapa chini anakuangalia na kukushangaa kwa kumsingizia ukubwa asiokuwa nao, yeye ni mdogo tu, urefu wasitani futi 9; uzito wasitani kilo 2, ila ni mmoja kati ya nyoka wenye sumu kali namba 6 duniani, anapandisha hasira sana mara akishachokozwa au kitishiwa, na ni nyoka aendaye spidi kubwa kuliko wote duniani (20 km kwa saa). Huku kwetu mkoani Katavi wanaonekana mara kwa mara, na hawafugiki !!!
View attachment 190535
uko sahihi kabisakoboko ndiyo huyo black mamba .
ana akiri sana
ana kula mti wa bhangi
ana ngata kichwa na shingo tuu
ana sumu kali
ana wika kama jogoo
aja wahi kutembeea kichwA chini yaani siku zote kichwa chake kipo juu kama kasimama vile
ana kwepa mawe
ana ruka kama panzi nk
Usimsahau bundi na koboko huwezi mkuta anatembea usiku yeye ni mchana usiku nae anawindwa na bundiHuyu ni moja ya nyoka wenye kasi zaidi na wenye sumu kali zaidi duniani. Nyoka huyu hujulikana kama KOBOKO au Black Mamba, hupatikana katika sehemu za Mashariki na Kusini mwa Afrika na huishi katika Makazi yoyote ambayo hutoa joto na unyevunyevu. Nyoka huyu akitaka kufanya shambulio hutanua kinywa chake na shingo yake na hutoa sauti kama ile ya tairi likiwa linatoa upepo. 'Black mamba' ana aina mbili ya sumu zinazozalishwa katika mwili wake moja ni huitwa (Neuro) hii huathiri mfumo wa neva na nyingine ni (Cardio-toxin) hii huathiri mfumo wa moyo na sumu hizi zinaweza kuua binadamu chini ya dakika 20. Pia imethibitika kuwa matone mawili ya sumu yake yanaweza kuua lakini mbali na kiasi kikubwa cha sumu kali sana aliyonayo, Koboko hana ujanja mbele ya Nguchiro, Mbweha na Nyegere.
Mwenye historia ya nyegere atuwekee hapa twafadhaliNyegere ni hatari sn
thread yake ipo,jaribu kuitafutaMwenye historia ya nyegere atuwekee hapa twafadhali
Anatanua shingo japo sio sanaUmechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
Ulivyianza kama kweli vile kumbe duuuhNgoja niwasimulie!!!!!!!!!Sasa sikiliza kuhusu huyu black mamba yani kikwetu //omoho)))) siku moja jioni nimerudi home nikamkuta kaingia ndani kutafuta maji ulikuwa wakqti wa kiangazi usiku wa2...... nikafunga mlango kukabilian nae nilipotaka kumtwangwa fimbo ya kwanza kakwepa kakimbilia mlangoni nilipokuwa tukabadilishana cover kumbuka mlango umefungwa ikavimbisha kichwa alafu kasimama kainuka kama futi3 juu nikasema nisubiri akifika kama feet5 nilale nae mbele kukabiliana nilipomuana hasira zimefika mwisho tukanza kuliana timing anataka kuniwai nikahesabu second kuwa baada ya sekunde ya 3 nimuwai nilipofika sekunde ya 2 umeme ukakatika kumbuka yuko mlangoni na umefungwa alafu giza nae anaona kama mchana.....naomba Kesho niendelee na story
DuhNgoja niwasimulie!!!!!!!!!Sasa sikiliza kuhusu huyu black mamba yani kikwetu //omoho)))) siku moja jioni nimerudi home nikamkuta kaingia ndani kutafuta maji ulikuwa wakqti wa kiangazi usiku wa2...... nikafunga mlango kukabilian nae nilipotaka kumtwangwa fimbo ya kwanza kakwepa kakimbilia mlangoni nilipokuwa tukabadilishana cover kumbuka mlango umefungwa ikavimbisha kichwa alafu kasimama kainuka kama futi3 juu nikasema nisubiri akifika kama feet5 nilale nae mbele kukabiliana nilipomuana hasira zimefika mwisho tukanza kuliana timing anataka kuniwai nikahesabu second kuwa baada ya sekunde ya 3 nimuwai nilipofika sekunde ya 2 umeme ukakatika kumbuka yuko mlangoni na umefungwa alafu giza nae anaona kama mchana.....naomba Kesho niendelee na story