Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Mkuu koboko msikie tu
Akikugonga huyo hata usia wa urithi huachi ni papo hapo buriani[emoji1321]

Na sio kwa wa africa tu anaogopeka
Wazungu ndio wanamkimbia kabsaaa
Ndio maana wakampa jina la BLACK MAMBA[emoji1321]
 
Hawa koboko wa jameson huwa wana rangi ambazo unaweza ukafikiri ni Green Mamba kumbe sio mikia yao huwa na rangi nyeusi.
 
Hapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Wewe ndo unachanganya, koboko (black mamba) ni mrefu hadi mita 3 na kidogo, kifutu (Puff adder) ni mfupi, mnene))
 
Rangi mbali mbali za Koboko wa Jameson zenye kuvutia kwa kumuangalia tu ila usimsogelee.
 
Huyu kijana wa kiingereza Nathan Leyton aligongwa na Koboko huko Afrika ya kusini alipokuwa akisoma katika chuo cha wanyama pori aliaga dunia
 
Naomba mtuwekee picha ya Koboko na Kifutu na majina yao kwa kiingereza maana wengine mmetuacha Ubungo Mataa.
 
A Buckinghamshire student training to be a safari guide in South Africa died after being bitten by a black mamba snake, an inquest has heard.

Nathan Layton, 28, from Wing, was bitten as he was putting the snake in a glass jar at the Wildlife College in Hoedspruit in March 2008.

The inquest in Dunstable, Bedfordshire, heard that Mr Layton had not realised he had been bitten.

In a narrative verdict, coroner David Morris said it was "a great tragedy".

The snake had been spotted in a corridor at the college close to a classroom.

Because it was in a location where students would be passing, arrangements were made to remove it.

A member of staff put it in a plastic box and Mr Layton then helped instructor Nellie De Kock to put it in a glass jar.

In a statement, Ms De Kock said that at no point was she aware the snake had bitten Mr Layton, though he did say the snake had brushed against him.

She said about an hour later Mr Layton complained of blurred vision and a few seconds later he collapsed on the floor.

He suffered a cardiac arrest and was pronounced dead at the scene.

A post-mortem examination revealed that he had died from snake bite poisoning.

Mr Layton and his girlfriend had left the UK in January 2008 to go on the year-long course.
 
Huyu ni black mamba kwa jina lingine ni mweusi wa kung'aa na jina hili la black ni kwa sababu ndani ya mdomo wake ni mweusi sana na cha ajabu akipanua mdomo utafikiri jeneza.
Huyu mwili wake kamwe sio mweusi, jina black mamba linatokana na rangi iliyopo kinywani mwake, akifungua mdomo ni kweusi tii. Rangi ya mwili wake sio nyeusi.
 
Puff adder falaa tuu yanii wakati tunaandaa mashambaa huwaa tunaviuaaa kibaooo....!!
 
Kuna wakati nilipewa kazi fulani Tabora iliyonilazimu niingie pori Wilaya Kaliua Tabora. Msitu mkubwa lakini nikatoka salama, baada ya kutoka nikamkumbuka black mamba...duh!!
 
Ukikutana na simba au chui anakukimbiza na kukuua na kukutafuna mara moja. Ukikutana na Black Mamba anakimbia kujilinda tofauti ni kubwa kati ya nyoka na hawa wafalme wa pori. Black mamba anakuwa mkali sana kama umemkanyaga au atakapohisi amezingirwa na hana pa kutorokea/kukimbia. Ukikutana nae uso kwa uso anakimbia sana, labda kama hana pa kukimbilia ndio atakuattack. Kwa wale wenye DSTV Channel 136 saa moja na nusu usiku Jumatatu mpaka Ijumaa kuna kipindi kinaitwa snakes in the city wale jamaa wanakampuni ya kukamata nyoka ukiona nyoka unawapigia wanakuja kumchukua faster, wamebase South Africa wanakamata nyoka kwa mikono mitupu akiwemo huyo black mamba.
Ndio nyoka mwenye kasi kuliko wote duniani.
 
Maeneo anayopatikana Jameson Mamba utaona ni sehemu ya misitu mizito.
 
Aaaaa kwa hiyo katika jamii ya mambas..

Black ndio washari sana?
Black mamba kadiri anavyokuwa mkumbwa ndio anavyozidi kuwa mshari,amesha wa ambush wawindaji wakajifungia ndani ya gari kuna visa vya ajabu vya koboko kudandia gari linalotembea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…