Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

huyo mtaalam... huwa hafanyi makosa akiwa kazini, kipind cha zaman kidogo.... wazungu walienda tabora... wakasikia habari ya kiumbe huyu( kama ilivyo marufuku kumtaja jina)... wakabisha sana juu ya habar zake... maana wao walikuwa wanaamin hakuna kama cobra..

shauku ilivyowajaa... wakatoa dau zuuri... kwa kijana atakayemkamata 'mtaalam' na kuwaletea..... ghafla akajitokeza masai mmoja kwa kujiamin.. kuwa wampe siku tatu... atakuwa ameshamkamata....

masai akazama vichakani.... katika kupitapita... akamkuta mtaalam anakula asali..... masai akamvalisha gunia mtaalam pamoja na mzinga wa asalii.....

aisee... itaendelea... nisije nikafungua uzi ndan ya uzi....
Endelea basi
 
220px-Bitis-arietans-range-map.png

Eneo la kujidai la Puff adder Kifutu.
 
Kiboko yake nyegere honey burger nguchiro na kenge pamoja na ngurue pigs akatizi lazima aliwe shabaash
 
Hatari za nyoka
1. COBRA (wanaitwa spitting cobra) wanatema sana mate yanafika hata mita kumi, mara zote wanalenga macho na wakikupata unakuwa kipofu ukichelewa kunawa haraka na maji. Wataalamu wanasema wako precise kiasi kwamba akiamua kutema ana uhakika lazima yakupate machoni, hatemi ovyo ovyo.

2. Mambas (Black&Green) wanameno makali sana kama sindano yana tundu katikati (kama sindano ya hospitali) kwa ajili ya kupump sumu, akikung'ata anapump sumu kwa kiwango cha ukubwa wa adui, kiwango anachopump kwa panya sio sawa na anachopump kwa binadamu. Kwa wakati mmoja anakuwa na sumu ya kuua watu 20 kwa mara moja. Huyu black mamba anaongoza kwa mbio akikimbia unaona kama anateleza na kicha anakiinua kidogo wakati anakimbia.

3. CHATU (python) huyu hana sumu kabisa yeye anatumi nguvu tu kumnyonga adui mpaka afe. Ana misuli ina nguvu sana akikuvingirisha ni ngumu kujinasua, wataalam wanashauri akikukamata upambane nae sana usiogope sura yake mbaya tumia nguvu sana kujinasua.

MUHIMU: Kwa haraka haraka jinsi ya kumjua nyoka asiye na sumu na mwenye sumu.

-Nyoka mwenye macho ya round na makubwa hana sumu kabisa mshike tu hawezi kukufanya chochote (ni kama toy)

-Nyoka mwenye macho yaliyochongoka (yako umbo la oval) ukimuona kimbia sana atakuua huyo.

Duniani nyoka wenye sumu ni asilimia 25 tu 75 hawana sumu kabisa.
 
Uzuri wa sumu ya Koboko ni neurotoxin na Cardiotoxin inashambulia mfumo wa fahamu na kuuzimisha moyo ila Puff adder ni habari nyingine sumu yake inaenda kugandisha damu na kuozesha nyama.
 
Kuna tetesi kuwa sumu ya Koboko ni dawa ya UKIMWI na saratani.
 
Mkuu huyo nyoka na mjua vizuri sana nimesoma uko tabora boys wapo wengi tu akisikia binadam anajongea sehem alipo hua anafoka kukujulisha nipo maeneo haya so usimzuru na unaweza pishana nae bila tatizo lolote.sisi tulikua tukiona ana vuka barabara tuna mchezea kwa kumvuta nyuma alipo toka anaishia kufoka tu ila hiyo mashine nyingine ilishawahi kuzingua watu makabulini akuna aliye baki nahisi ata marehem asinge kua ndani ya jeneza angekimbia
Ha ha nmecheka ulivyomalizia
 
Kama Madentist wetu nao wangekuwa wanajituma hivi.kama huyu chura.
Eastern-Hognose-Snake-Bite.jpg
 
aisee...huyu kweli kama brother k ..duuhh "" cheki alivyo mfanya ...!! anaitwa nani huyu ?
Hahahaha ni Secretary Bird nimejaribu kuangalia anaitwaje Google eti KATIBU yaani hivi huyu mkalimani nani alimruhusu?
Mwenye kumjua jina lake atatusaidia
 
Back
Top Bottom