imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mkuu ukizijua tabia za hawa viumbe huwezi kuwaua labda kama una watoto wadogo ila kitu cha busara ni kuwaacha waendelee waendelee na hamsini zao wakapambane na hali zao,ukijifanya kuwafatafata ndio yatakapo kukuta.duuuuhhh""aisee...sipendi kuuwa nyoka "" lakini hapa nimejikuta naanza kufikiria upya kuhusu huruma yangu kwao