[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi inakuwaje story za huyu ibilisi huwa zinashamiri sana mida hii ya usiku ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Ngamia kwa visasi hata ukijipodoa sana anamaindi halafu unakula bite!hahahaha
View attachment 769494
Mkuu mimi huwa nasomaga visa vya Ngamia halafu huwa nabakia kucheka tu..Ngamia ana visasi sana yaani hata ukiwa umejipulizia Perfume nzuri anakutemea mate.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Mzee wa Jangwani kaniacha hoi
Oooh umfukuze koboko kwa fimbo?NIKIKUTANA NAYE BARABARANI NIFANYEJE JAMENI????? MAANA NINA TABIA YA KUFUKUZA NYOKA KWA MAWE AU GONGO.🙁
Ni kugeuza ulikotoka na kimbia kwa bidii kama dakika kumi hivi halafu simama angalia nyuma kama hayupo basi amekuacha uendelee kula ugali wako.NIKIKUTANA NAYE BARABARANI NIFANYEJE JAMENI?
Hahaaaaa mbona mnanitisha jamani. Daaah Tabora siendi.Oooh umfukuze koboko kwa fimbo?
R.I.P in advance mkuu....
Daaah. bora kama nitatoka mkiki. Nasikia pia anatema sumu futi 12. kuna ukweli????Ni kugeuza ulikotoka na kimbia kwa bidii kama dakika kumi hivi halafu simama angalia nyuma kama hayupo basi amekuacha uendelee kula ugali wako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna kisa kimoja cha Koboko alitaka kuAmbush gar lai wawindaji wenye silaha wakamtwanga risasi akakimbilia juu ya mti pamoja na kuwa karibu na kukatika na (Spinal Cord kukatika) alikaa kuanzia jioni mpaka asubuhi yake ndio akafa.
Hatemi sumu wala uwezo huo hana.Nasikia pia anatema sumu
Cajojo uko porini?Eee Mungu niepushe na hii dhahma ya huyu mnyama yani hapa kila saa nanyanyua miguu
Wamasai wanaua simba mchan kweupee easy tuHizo ni figure of speech tu !una asilimia 99 ya kushinda vita dhidi ya nyoka wakati una less than 10% au no chance at all kushinda vita dhidi ya simba na chui
[emoji24] [emoji24] [emoji24]Ni hatari sana huyu nyoka nakumbuka 2009 nilienda tabora huko maporini kuna jamaa wakapita na mkokoteni na vitendea kazi tulikokuwa tumekaa, wakienda kufyeka shamba ilikuwa kwenye saa 1.00 hivi asubuhi wakatusabahi vyema tu..
Kufika saa 1.45 jamaa akawa anarudi mmoja anasukuma ule mkokoteni mwingine akiwa tayari maiti ndani ya mkokoteni... ilikuwa kazi ya koboko niliomba kuondoka na kurudi mjini kesho yake.. inatisha sana
Nasikia kwa kila spit ni 20litre...Huyu Swila ndio bingwa wa kuwaogesha watu kwa mate.View attachment 769628
Tena anashabaha sana.INasikia kwa kila spit ni 20litre...