Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ndo kifutu yaani boomslang![]()
hawa ni puff adder ndo koboko![]()
kaka unafahamu study za reptiles na amphibians?unafahamu classification na identification vizuri?tusije bishana kumbe mwenzangu haupo huku kaka.
Mhhh mbona namuona kama wa kawaida tu?
Akija napigana nae tu
tatizo hufahamu ila unahisi unajua haya endelea kujua unalojua maana kama bank teller anakua herpetologist ni sawa lakini ni vyema kama hujui ukakaa kimya wengine ndio field zao hizi sio tour guides lakini ni professionals katika study za herpetology so nakushauri ujifunze sio u object jambo usilolijua.In the study of reptiles we know nothing like koboko,swila,kifutu etc but we are dealing with classification from the level of kingdom to species level.Inaelekea huna clue juu ya viumbe hivi ndo maana.Nimejaribu kutuma na picha uone tofauti.mleta uzi ametoa picha ya black mamba moja ya characteristic yake ni kutumia elevation wakati akiwa aggressive tabia ambayo haipo kwa nyoka waliopo katika order ya serpentes na pia ukimuangalia mdomo wake unashape ya jeneza.. itoshe kukuelimisha kua hili ni somo na linahitaji some sio kupata story.
kifutu ni boomslang
Asante.
Mweeeee....na je wanang'ata?
tatizo hufahamu ila unahisi unajua haya endelea kujua unalojua maana kama bank teller anakua herpetologist ni sawa lakini ni vyema kama hujui ukakaa kimya wengine ndio field zao hizi sio tour guides lakini ni professionals katika study za herpetology so nakushauri ujifunze sio u object jambo usilolijua.In the study of reptiles we know nothing like koboko,swila,kifutu etc but we are dealing with classification from the level of kingdom to species level.Inaelekea huna clue juu ya viumbe hivi ndo maana.Nimejaribu kutuma na picha uone tofauti.mleta uzi ametoa picha ya black mamba moja ya characteristic yake ni kutumia elevation wakati akiwa aggressive tabia ambayo haipo kwa nyoka waliopo katika order ya serpentes na pia ukimuangalia mdomo wake unashape ya jeneza.. itoshe kukuelimisha kua hili ni somo na linahitaji some sio kupata story.
Thubutu.
Afu kuna sehemu niliona aina fulani ya nyoka yaani wamefanana kopiraiti na uume.
Wanaitwaje na wanapatikana wapi?
Yaani ukimuona ni kama umeuona uume tu
mkuu unaweza kuwa mtaalamu lakini tatizo hapa siyo utaalamu ni tafsiri. sisi tunasema, black mamba ni koboko na puff adder ni kifutu. tuongezee cobra ni swila.
Mkuu sijui umekula maharage ya wapi wewe na classification zako hizo ....puff adder ni kifutu,boomslang ni wale wa kijani though sio green mamba na black mamba ni koboko na sifa alizozitaja mleta mada ni za koboko ,mie sijawahi ona kifutu akisimamia mkia kumshambulia adui au akiwa na mwendo kasi wa 30 km/h kama siajkosea
Ila kwa kua maharage na nyama yote yana protein nadhani wewe unaweza ukaziweka class moja though ni vitu viwili tofauti
Maelezo ya jamaa hata km sio sahh lkn ni professional...ww unaongea kishabiki, kibabe, bila hoja zaidi ya kashfa....curse u
Lakini pia kuna green mamba mkuu.
Bila shaka wapo wa aina mbali mbali lakini wote wana midomo mieusi ila wana rangi ya ngozi totafaui tofauti..
Go curse your mama .....,maneno professional ya uongo wewe vipi