Ndiki de boss
Member
- Jan 19, 2017
- 94
- 62
Koboko [emoji22][emoji22]
Huyu nyoka sitaki hata kumsikia!
Alimgonga jirani yetu akiwa shambani, yule mama alipatikana kesho yake akiwa tayari keshafariki na keshakakamaa, pale alipokuwa amelala yule marehem kulikuwa na mashimo kadhaa katika kupekua na kuchunguza ndan ya shimo mara aliyekuwa anachunguza ambaye n mme wa marehem naye akagongwa ndan ya dakika 15 naye akafariki! Ilibidi atafutwe mzee mmoja mwenye gobore then wakapakia goroli za pedals za baiskel kama mbdala wa risasi, yule koboko alikuwa amechachamaa vibaya, kichwa juu juu! Ilibidi auwawe kwa gobore ndipo miili ya marehem ilipochukuliwa!
Huku kigoma wapo sana hasa wilaya ya uvinza!
Msimu wa kumbikumbi usipende kusogelea kwa pupa kwenye vichuguu! Na pia kwenye mashamba ya bange ni hataree!
Huyu nyoka sitaki hata kumsikia!
Alimgonga jirani yetu akiwa shambani, yule mama alipatikana kesho yake akiwa tayari keshafariki na keshakakamaa, pale alipokuwa amelala yule marehem kulikuwa na mashimo kadhaa katika kupekua na kuchunguza ndan ya shimo mara aliyekuwa anachunguza ambaye n mme wa marehem naye akagongwa ndan ya dakika 15 naye akafariki! Ilibidi atafutwe mzee mmoja mwenye gobore then wakapakia goroli za pedals za baiskel kama mbdala wa risasi, yule koboko alikuwa amechachamaa vibaya, kichwa juu juu! Ilibidi auwawe kwa gobore ndipo miili ya marehem ilipochukuliwa!
Huku kigoma wapo sana hasa wilaya ya uvinza!
Msimu wa kumbikumbi usipende kusogelea kwa pupa kwenye vichuguu! Na pia kwenye mashamba ya bange ni hataree!