Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

kwetu mtu akikuchoka anakutumia koboko mwisho wa jeuri yako - ha ha ha

Kuna siku nikipenda nitamleta mmoja hapa mjini awe bodyguard wangu; maana kuna watu wanajifanya wajuaji sana.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Ukimkanyaga anakuchoma kama mchoro unavyo onyesha

View attachment 776675

Ukikutana na yule mkubwa damage yake ni kubwa kama huyu dogo alivyodungwa na kwenye paja
View attachment 776690
Taa wako wa aina nyingi sio samaki wa kubeza ni hatari sana sana kuutoa mwiba mara nyingi inahitaji upasuaji
Huu mwiba "Barb" umeingia deep.
View attachment 776700
Ila bahatini kuna samaki wana sumu kali huyu taa akasome

Jellybox fish naskia ni noma, eel fish na mkunga nae
 
Pata unlimited data /data isiyo na ukomo tumia hata 10000GB kwa siku.
Mwezi 1=9,000
Miezi 3=17,000
Mtandao wowote.
Wasiliana nami 0621 072 026
 
Hizi kazi zinahitaji roho ngumu sana,2012 Muingereza Mark Oshea aligongwa na King Cobra akaponea chupu chupu sasa hivi simuoni sana.
Duu unamkumbuka huyo jamaa sijui wa Shropshire
Aling'atwa bila kutegemea kwenye kiatu
Uzee umemtupa
 
Back
Top Bottom