Kocha Amunike atangaza majina ya Wachezaji watakaoenda kupambana na Uganda, Septemba 8

Sina shaka kabisa kwamba wewe ni miongoni mwa wanataaluma wenye ueledi sana wa mambo ya habari na mchango wako ni mkubwa sana humu JF. Naomba unieleze kama taifa stars imevunjwa lini? Maana naamini Amunike kuna timu kaikuta sasa itabidi aifanyie kazi na maboresho, just like what happened to Spain after hierro took over
 
Basi labda wabadili lugha , badala ya kuteua wachezaji waseme Amunike aanza kazi Stars , maana si timu aliikuta tu ? Kuhusu Spain kilichotokea ni kwamba Hierro alichukua nafasi ya kocha aliyetimuliwa timu ikiwa tayari kwenye michuano .
 
Wakapambane tu.
 
Mkuu ww mpira hujui... timu ya taifa huwa sio permanent... eti walioitwa game iliyopita ndio wale wale.. hiyo hutokea katika mashindano tu.. mfano WORLD CUP YENYEWE AU AFCON YENYEWE SIO KUWANIA KUFUZU.. HIVYO WACHEZAJI HUBADILIKA KULINGANA NA MECHI NA MAONO YA KOCHA.. KUVUNJWA KWA TIMU YA TAIFA NDIO NN HAPO SASA..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ulitaka kutoa ushauri gani. Hebu saidia ungekuwa wewe ungefanyaje?

Hao wachezaji kawajuaje uwezo wao??? 🤔 🤔 🤔 Hakuna timu hapo na kila siku tutaendelea kubeba watu walewale walioshindwa kupanda mlima siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…