Kocha analaumiwa kwa matokeo mabaya na sio kwa kutompanga fulani

Kocha analaumiwa kwa matokeo mabaya na sio kwa kutompanga fulani

man dunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
3,358
Reaction score
5,783
Siku zote kocha huwa analaumiwa kwa matokeo mabaya kutokana na yeye ndie anaefundisha na kuchagua wachezaji wa kuanza kwenye kikosi. Sasa nyinyi mnaolazimisha Phiri apangwe, je, akipangwa na matokeo yakawa mabaya nani atawajibika?

Ni kawaida kwa mchezaji aliekuwa tegemeo kupoteza namba baada ya kuwa majeruhi. Kwa wahenga kidogo, kuna mchezaji anaitwa Mario Gomez alikuwa Striker wa kutegemewa pale Bayern. Alipopata majeruhi Bayern wakamsajili Mandzukick na Mario Gomez akapoteza namba mazima hata alipopona majeruhi.

Naamini Phiri atapewa nafasi na Kocha mtalaam Robertinho na ataendelea kupewa nafasi kutokana na performance yake na sio mazoea ya kuwa sijui alikuwa tegemeo zamani. Mwacheni Kocha afanye kazi yake.
 
Siku zote kocha huwa analaumiwa kwa matokeo mabaya kutokana na yeye ndie anaefundisha na kuchagua wachezaji wa kuanza kwenye kikosi. Sasa nyinyi mnaolazimisha Phiri apangwe, je akipangwa na matokeo yakawa mabaya nani atawajibika?

Ni kawaida kwa mchezaji aliekuwa tegemeo kupoteza namba baada ya kuwa majeruhi. Kwa wahenga kidogo, kuna mchezaji anaitwa Mario Gomez alikuwa striker wa kutegemewa pale Bayern.Alipopata majeruhi Bayern wakamsajili Mandzukick na Mario Gomez akapoteza namba mazima hata alipopona majeruhi .

Naamini Phiri atapewa nafasi na kocha mtalaam Robertinho na ataendelea kupewa nafasi kutokana na performance yake na sio mazoea ya kuwa sijui alikuwa tegemeo zamani. Mwacheni kocha afanye kazi yake.
Nashangaa watu wamemshukia kocha kwa mechi moja tu tena ya bonanza kutompanga Phiri.
 
Hivi kocha hapangi mchezaji hata kwenye mechi za mabonanza halafu mnadai mchezaji kiwango kimeshuka, hao wachezaji wanaopewa muda mwingi na wengine kuingizwa wakati mchango wao ni mdogo kwanini anawang'ang'ania. Shabalala Leo hii alipata majeruhi halafu mbadala wake akishindwa kuperfom nani wa kulaumiwa.
Manura aliumia katika mechi ambayo hakustahili kuchezwa madhara yake tayari tumeyaona mpaka walikuwa wanataka kuleta kocha Toka nje.
Tukilaumu baadae tutakuwa wanafiki Bora tupaze sauti viongozi wasikie ili wachukue hatua.
Pia kama waliona wachezaji hawako kwenye mipango ya kocha wangewaacha watafute timu nyingine, kama phiri asingekosa timu ya kucheza.
 
Yaani Kibu anacheza dakika 100 zote kweli.
Hata kwenye Bonanza[emoji848]

Alaf Moses General anachoma mahindi tu.
Hatukubali kabisa
 
Robertinho huwezi kumtenganisha na Kibu na Saido...

Halafu kwenye match ya Bonanza kama ile kwanini asingetumia wachezaji wote?
Yeye hakuichulia ile kama bonanza bali aliichukulia ni maandalizi ya mechi ya kesho Alhamisi na Singida Bush Stars
 
Back
Top Bottom