Gamic
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 1,156
- 2,271
Yanga imeshinda lakini imetumia maarifa ambayo sio . Wakienda kimataifa wanaishia makundi.Sasa mnatakaje? Yanga imeshinda Next?
#Yangabingwa
#since1935
๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga imeshinda lakini imetumia maarifa ambayo sio . Wakienda kimataifa wanaishia makundi.Sasa mnatakaje? Yanga imeshinda Next?
#Yangabingwa
#since1935
๐๐๐๐
Kaa pembeni acha kukata mauno hapa huna hojaHakuna timu inayoitwa kubwa inayoishia robo fainal kwenye mashindano ya CAF kwa miaka Sita mfululizo.
Izo zakujiona mkubwa Africa kwa kufika robo ni fikra za ki mbumbumbu.
๐คฆ๐ฟโโ๏ธ๐คฆ๐ฟโโ๏ธ๐คฆ๐ฟโโ๏ธ afya ya akili, ivi wenye mpira wao caf wanasemaje kuhusu simba kweny vilabu bora Africa yupo top 10 au ayupo? Ukisha lijua hlo aiseee zingatia huduma za afya yaan mental health upatiwe doz mapema kabla mamb yajawa magumuHakuna timu inayoitwa kubwa inayoishia robo fainal kwenye mashindano ya CAF kwa miaka Sita mfululizo.
Izo zakujiona mkubwa Africa kwa kufika robo ni fikra za ki mbumbumbu.
MbwachiniiKwa akili hizi ndo maana utopolo kimataifa anatambulika kama underdog au mbwa wa chini
Thibitisha vinginevyo huo ni uzushi tu.Team kubwa inapanga matokeo inabebwa na tawi lao singida malaya
Hakika haiwezi naona timu kubwa ilisharudi na kombe la CAF.Timu kubwa haiwezi kuishia makundi CAF
Ukweli huu hapaAliyekuwa Kocha wa Singida Big Stars, Patrick Aussems amefunguka mazito kupitia Crown FM, baada ya sakata la Yanga na Singida kupamba moto
"Kuna wachezaji wamenipigia simu wamekerwa na hali iliyotokea juzi maana wachezaji wana malengo ya kushindana na hawafurahishwi na kikosi ambacho kilipangwa juzi kuwa sio cha ushindani."
"Wakati nipo Singida kabla ya mechi na Yanga ile wiki mambo mengi ya ajabu yalitokea kila jioni nilikuwa nampigia simu Boss na nilijua kabla kuna uhusiano kati ya Singida na Yanga na baada ya pale nilijua kuwa siwezi kukaa Singida Black Stars maana mimi ni mtu mshindani napenda kushindana."
"Unawezaje kuwa na malengo ya kushindana halafu hutaki kushindana na timu kama Yanga?, Hi haiwezekani na wakati nilipoondoka Singida BS tulikuwa nafasi ya pili na niilijua tu lazima timu itashuka." amesema Ausems kupitia Crown FM
Pia soma Patrick Aussems: Wamiliki wa Singida Black Stars hupangia makocha vikosi vya kuchezesha
Ila kubwa no iliyoburuza mkia ndo kubwa manara hakukoseaHakuna timu inayoitwa kubwa inayoishia robo fainal kwenye mashindano ya CAF kwa miaka Sita mfululizo.
Izo zakujiona mkubwa Africa kwa kufika robo ni fikra za ki mbumbumbu.
Unaongea kama umekatwa kichwa, Yanga mwenye fainali unasema anaishia makundi...we unaishiaga wapi?Yanga imeshinda lakini imetumia maarifa ambayo sio . Wakienda kimataifa wanaishia makundi.
Mtoto wa mama hatolewi kafaraAliyekuwa Kocha wa Singida Big Stars, Patrick Aussems amefunguka mazito kupitia Crown FM, baada ya sakata la Yanga na Singida kupamba moto
"Kuna wachezaji wamenipigia simu wamekerwa na hali iliyotokea juzi maana wachezaji wana malengo ya kushindana na hawafurahishwi na kikosi ambacho kilipangwa juzi kuwa sio cha ushindani."
"Wakati nipo Singida kabla ya mechi na Yanga ile wiki mambo mengi ya ajabu yalitokea kila jioni nilikuwa nampigia simu Boss na nilijua kabla kuna uhusiano kati ya Singida na Yanga na baada ya pale nilijua kuwa siwezi kukaa Singida Black Stars maana mimi ni mtu mshindani napenda kushindana."
"Unawezaje kuwa na malengo ya kushindana halafu hutaki kushindana na timu kama Yanga?, Hi haiwezekani na wakati nilipoondoka Singida BS tulikuwa nafasi ya pili na niilijua tu lazima timu itashuka." amesema Ausems kupitia Crown FM
Pia soma Patrick Aussems: Wamiliki wa Singida Black Stars hupangia makocha vikosi vya kuchezesha
Nyie mnadinywaWa utopolo ni mashoga
Timu kubwa inabebwa ili ipate matokeo!?Hakika yanga ni timu kubwa sana.
Imebebwa wapi na liniTimu kubwa inabebwa ili ipate matokeo!?