Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kuwashwa,tengenza timu yako halafu mkabidhi timu huyo mcheza BOLINGO.Kocha Aussens ni binge LA kimeo ila amepata bahati ya kuwa na wachezaji wazuri. Angepewa timu kama Ndanda au Mbeya City asingepata sifa aliyonayo. Simba wanabugi kumpa mkataba mwingine. Makocha wazuri ni Mwinyi Zahera wa Yanga na Ndiyaragije wa KMC
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli aiseeMarekani nayo siyo nchi yenye uchumi mkubwa
Marekani nayo haina uchumi mkubwa sema tu imepata bahati ya kua moja ya nchi za bara la america, ila marekani ingekua africa ingekua ni nchi masikini kuliko zote
Point nzuri. Humu kuna watu kutumia akili ni shidahata Guardiola au Morinho ukimpa Ndanda unahisi atachukua kombe la TPL
Point nzuri. Humu kuna watu kutumia akili ni shida
Kocha Aussens ni binge LA kimeo ila amepata bahati ya kuwa na wachezaji wazuri. Angepewa timu kama Ndanda au Mbeya City asingepata sifa aliyonayo. Simba wanabugi kumpa mkataba mwingine. Makocha wazuri ni Mwinyi Zahera wa Yanga na Ndiyaragije wa KMC