bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Mashabiki wa soka wana mambo yao,baada ya Kocha wa timu ya Njombe Mji Banyai kushindwa kupata ushindi kwenye mchezo wowote ule wa ligi kuu mashabiki wa Njombe mji wameibuka na kumpa kocha lawama na kumwambia hatakiwi kukanyaga ardhi ya Njombe kama anajipenda.
Pamoja na yote hayo kocha Banyai ameonekana hana utani na maisha yake baada ya kujiuzulu kufundisha timu hiyo inayotumia uwanja wa Sabasaba uliopo Njombe Mjini akitoa taarifa kupitia kipindi cha Mshikemshike kinachorushwa na Azam Tv Kocha Banyai ameutupia lawama uongozi mzima wa timu ya Njombe mji na kusema wameshindwa kutekeleza mapendekezo yake ikiwa na pamoja na Kambi,usajili na pia Usafiri.
Kwa sasa Timu ipo mikononi mwa kocha Mlange kabange,Njombe mji wameweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kufukuza kocha wake je Mlange Kabange ataweza kukidhi haja ya Wakazi wa Njombe? Time will tell.
Pamoja na yote hayo kocha Banyai ameonekana hana utani na maisha yake baada ya kujiuzulu kufundisha timu hiyo inayotumia uwanja wa Sabasaba uliopo Njombe Mjini akitoa taarifa kupitia kipindi cha Mshikemshike kinachorushwa na Azam Tv Kocha Banyai ameutupia lawama uongozi mzima wa timu ya Njombe mji na kusema wameshindwa kutekeleza mapendekezo yake ikiwa na pamoja na Kambi,usajili na pia Usafiri.
Kwa sasa Timu ipo mikononi mwa kocha Mlange kabange,Njombe mji wameweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kufukuza kocha wake je Mlange Kabange ataweza kukidhi haja ya Wakazi wa Njombe? Time will tell.