Kocha Gamondi wala hana shida ila mlimpa Jeuri na kuaminisha Watu kuwa ni Bonge la Kocha ila baada ya kushtukiwa Mchezo wenu wa dawa mmemtema

Kocha Gamondi wala hana shida ila mlimpa Jeuri na kuaminisha Watu kuwa ni Bonge la Kocha ila baada ya kushtukiwa Mchezo wenu wa dawa mmemtema

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ukweli ni kwamba Kocha Gamondi wala hakuwa na Uwezo huo ambao tokea mmempa Kazi Yanga SC mlikuwa mkimpa hadi kumuita Profesa ila mlimkuza Kiuongo na Kweli aonekane anafanya vyema ila huku nyuma mlikuwa mkitumia Dawa za Kuongeza Nguvu kupitia Sindano na baada ya Kushtukiwa kwa Watu wa Azam Media Kulisanua sasa mmeona hamtakuwa na Makali yenu tena hivyo kwa Kuzuga mkaona zigo la lawama mumtupie Muajentina wa watu.

Hovyoooooooooo.........!!!!!!!
 
Ukweli ni kwamba Kocha Gamondi wala hakuwa na Uwezo huo ambao tokea mmempa Kazi Yanga SC mlikuwa mkimpa hadi kumuita Profesa ila mlimkuza Kiuongo na Kweli aonekane anafanya vyema ila huku nyuma mlikuwa mkitumia Dawa za Kuongeza Nguvu kupitia Sindano na baada ya Kushtukiwa kwa Watu wa Azam Media Kulisanua sasa mmeona hamtakuwa na Makali yenu tena hivyo kwa Kuzuga mkaona zigo la lawama mumtupie Muajentina wa watu.

Hovyoooooooooo.........!!!!!!!
Screenshot_20241115-172646.png

Umeona Chuma Hicho
 
Manake hata CHAMA yanga sasa ana nguvu.. wakati simba alikuwa GOIGOI...
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
 
Back
Top Bottom