Kocha Himdi Maloud anaweza kuwa jasusi wa soka aliyekuja kuimaliza Yanga, afukuzwe mapema

Kocha Himdi Maloud anaweza kuwa jasusi wa soka aliyekuja kuimaliza Yanga, afukuzwe mapema

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Habari wakuu

Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa

Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond


Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)

Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi

Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule


Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC


Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,

Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana

Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo

Nawasilisha
 
Ahahah raha sana kupitia post za utopolo wakiwa wametoka droo au kufungwa...
🤣 🤣 🤣 🤣
 
Tumpe muda japo namna anaongea na haiba inaionesha ameshafeli.... Daima mbele Nyuma Mwiko
 
Ramovic hakukubalika na mashabiki wengi wa Yanga akiwemo ngara23 ila jicho linalojua mpira wakamchukua fasta tu tena kwa dau nono. Na aliondoka na takwimu nzuri sana akiwa Yanga kwenye ligi kuu.
 
Habari wakuu

Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa

Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond


Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)

Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi

Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule


Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC


Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,

Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana

Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo

Nawasilisha
Si mmataka makocha wa " Dini yetu"? ili timu ikichukua.kombe tuwaite "wazee waispmee Dua"?
 
Habari wakuu

Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa

Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond


Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)

Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi

Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule


Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC


Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,

Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana

Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo

Nawasilisha
Utopolo hawana jema...mfukuzeni na huyu sasa atawashusha Daraja
 
Safari hii kila tundu lililopo kwenye mwili wa Amfibia litatoa ushuzi .
 
Habari wakuu

Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo zitafunga timu kubwa

Mwanzo wa msimu niliandika huu uzi kuhusu JKT Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Pia nikaandika kuhusu Ramovic ambaye waarabu waliona kazi yake mapema wakamnyakua Kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ni hatari zaidi kuliko Gamond baada ya mechi tano zijazo mtamsahau Gamond


Huyu kocha wa sasa anairudisha Yanga kule kule ilikotoka, hajui shida ya yanga ni nini, kwa muujibu wa Ramovic shida ya yanga ilikuwa ni utimamu wa mwili (physical fitness)

Leo nimeona wachezaji ni kama vile wqmeanza kuchoka tena hii ni kazi ya mazoezini huko kocha na wenzake sijui wanafanya kitu gani mpaka wachezaji wamechoka ghafla hivi

Timu haina falsafa hakuna tena ule moira wa speed wa kugusa na kuachia twende kwao ndani ya mechi moja tu tayari kashaanza kurudi kule kule


Alikuwa Singida sasa hivi imepoteana ili sare na kagera sugar juzi leo imekaangwa na KMC


Kamuanzisha Chama kwenye gemu ngumu kama hii, kwa haiba ya Aziz ki lazima wakorofishane na huyu kocha,

Ataleta migogoro ya kufa mtu na ataua kipaji cha wachezaji wengi akiwemo mzize na kibwana

Nimesema mapema
Asipofukuzwa huyu kocha mtakuja kustuka yanga imebaki makopo

Nawasilisha
Yanga kwasasa tatizo siyo kacha tatizo ni uongozi wameishiwa mawazo

Poor leadership skills and technical bench, taking things for granted, (a stranger in the house to use your weapon)
 
Back
Top Bottom