Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Moderator mmoja nadhani ni yanga mahaba au anatumika na simba. Unaunganisha uzi wangu na matokeo ya yanga kuna mfanano gani?
Huyu kocha mzungu inawezekana asidumu kabisa.maana analeta mambo ya ubishi. Wachezaji leo waliambiwa namna ya kufanya ili washinde na kamati ya Ufundi.
Kocha amekataa yale masharti anasema anataka wacheze mpira uwanjani masuala ya kishirikina anasema hataki.
Huyu kocha asilete mambo yake ya kizungu huku.huu mpira wetu huwa unaanza kuchezwa nje ya uwanja.uwanjani ni kumalizia tu.asilete mambo yake ya kipuuzi.yanga tukifungwa mara mbili tunamwondoa.
Kwani si mlisema mshirikina ni Kagere na hash tag kibao nilimuwekea Leo nini tena eti we chiziModerator mmoja nadhani ni yanga mahaba au anatumika na simba. Unaunganisha uzi wangu na matokeo ya yanga kuna mfanano gani?
Huyu kocha mzungu inawezekana asidumu kabisa.maana analeta mambo ya ubishi. Wachezaji leo waliambiwa namna ya kufanya ili washinde na kamati ya Ufundi.
Kocha amekataa yale masharti anasema anataka wacheze mpira uwanjani masuala ya kishirikina anasema hataki.
Huyu kocha asilete mambo yake ya kizungu huku.huu mpira wetu huwa unaanza kuchezwa nje ya uwanja.uwanjani ni kumalizia tu.asilete mambo yake ya kipuuzi.yanga tukifungwa mara mbili tunamwondoa.
umeandika bange tupu, mods futeni huu upuuzi.
Pingili ya mua uazama mkiani mwa simbaHuyu kocha mzungu inawezekana asidumu kabisa maana analeta mambo ya ubishi. Wachezaji leo waliambiwa namna ya kufanya ili washinde na kamati ya Ufundi.
Kocha amekataa yale masharti anasema anataka wacheze mpira uwanjani masuala ya kishirikina anasema hataki.
Huyu kocha asilete mambo yake ya kizungu huku.huu mpira wetu huwa unaanza kuchezwa nje ya uwanja.uwanjani ni kumalizia tu.asilete mambo yake ya kipuuzi.yanga tukifungwa mara mbili tunamwondoa.
Alaa kwanza mngemroga kocha ili atumie akili zenuHuyu kocha mzungu inawezekana asidumu kabisa maana analeta mambo ya ubishi. Wachezaji leo waliambiwa namna ya kufanya ili washinde na kamati ya Ufundi.
Kocha amekataa yale masharti anasema anataka wacheze mpira uwanjani masuala ya kishirikina anasema hataki.
Huyu kocha asilete mambo yake ya kizungu huku.huu mpira wetu huwa unaanza kuchezwa nje ya uwanja.uwanjani ni kumalizia tu.asilete mambo yake ya kipuuzi.yanga tukifungwa mara mbili tunamwondoa.
Kiongozi, hayo mambo ya 5imba.Huyu kocha mzungu inawezekana asidumu kabisa maana analeta mambo ya ubishi. Wachezaji leo waliambiwa namna ya kufanya ili washinde na kamati ya Ufundi.
Kocha amekataa yale masharti anasema anataka wacheze mpira uwanjani masuala ya kishirikina anasema hataki.
Huyu kocha asilete mambo yake ya kizungu huku.huu mpira wetu huwa unaanza kuchezwa nje ya uwanja.uwanjani ni kumalizia tu.asilete mambo yake ya kipuuzi.yanga tukifungwa mara mbili tunamwondoa.
Aisee wewe ndo ulikuwa Mganga nini wamekunyima tenderHuyu kocha mzungu inawezekana asidumu kabisa maana analeta mambo ya ubishi. Wachezaji leo waliambiwa namna ya kufanya ili washinde na kamati ya Ufundi.
Kocha amekataa yale masharti anasema anataka wacheze mpira uwanjani masuala ya kishirikina anasema hataki.
Huyu kocha asilete mambo yake ya kizungu huku.huu mpira wetu huwa unaanza kuchezwa nje ya uwanja.uwanjani ni kumalizia tu.asilete mambo yake ya kipuuzi.yanga tukifungwa mara mbili tunamwondoa.