Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Julen Lopetegui(52) amepewa kandarasi ya miaka mitatu kuinoa Klabu ya Sevilla ya Uhispania inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo
Alifukuzwa kuinoa timu ya Taifa ya Uhispania siku mbili kabla ya michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 kuanza baada ya kuteuliwa kuwa Kocha wa Real Madrid
Mwezi Oktoba mwaka jana ikiwa ni miezi minne na nusu tangu ateuliwe kuinoa Real Madrid alitupiwa virango na Klabu hiyo kufuatia kipigo cha goli 5-1 kutoka kwa Barcelona
Sevilla iliyomaliza ya 6 katika msimamo wa Ligi Kuu nchini humo ilimfukuza aliyekuwa kocha wake, Pablo Machin mwezi Machi mwaka huu baada ya kutolewa kwenye michuano ya Europa na kumteua Joaquin Caparros hadi mwisho wa msimu
Alifukuzwa kuinoa timu ya Taifa ya Uhispania siku mbili kabla ya michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 kuanza baada ya kuteuliwa kuwa Kocha wa Real Madrid
Mwezi Oktoba mwaka jana ikiwa ni miezi minne na nusu tangu ateuliwe kuinoa Real Madrid alitupiwa virango na Klabu hiyo kufuatia kipigo cha goli 5-1 kutoka kwa Barcelona
Sevilla iliyomaliza ya 6 katika msimamo wa Ligi Kuu nchini humo ilimfukuza aliyekuwa kocha wake, Pablo Machin mwezi Machi mwaka huu baada ya kutolewa kwenye michuano ya Europa na kumteua Joaquin Caparros hadi mwisho wa msimu