Kocha Kim ameingamiza Taifa Stars na Sub zisizo sahihi

Kocha Kim ameingamiza Taifa Stars na Sub zisizo sahihi

Goli la kwanza hakuna wa kumlaumu, Timu nzima ilikuwepo pale. Lile goli walisha lifanyia mazoezi katika uwanja wa mazoezi.
Angalia mpigaji wa faul alipo u curve mpira usiende golini uende eneo huru alafu Kuna mtu anapita akijua kabisa mpira hauendi golini alafu jamaa anaurudisha kwenye 18 yetu. Jamaa wanavamia goli letu na kufunga.
Nigoli la mipango Sema sisi mashabiki tumelichukulia kama goli la kawaida.

Goli la pili ni counter attack iliyo kubali hakuna namna tulikua out of shape kwenye difence.
goli la kwanza kafunga rani anacheza ujerumani magharibi,la pili katufunga amoura anacheza uswiss
 
Algeria wametuzidi sana kiwango halafu Stars yetu ina wachezaji wenhi wageni wasio na experience kimataifa na viwango vyao bado havijakuwa inavyotakiwa.
 
Kwa aina hii ya wachezaji tulio nao hatuwezi kufika popote, hawa wachezaji uwezo wao umefika mwisho hawana jipya, tujipe tu likizo ya muda ili tujenge timu imara ya taifa kuliko kutegemea miujiza kutoka kwa Samatta au Msuva.
 
Tukubali Algeria wamedhihirisha ubora wao. Wachezaji wetu wamejitahidi ila wamekutana na quality iliyo amua mchezo.
Kumlaumu kocha Kwa wachezaji tulionao kulinganisha na mpizani wetu ni ku ukosea heshma mpira wetu.
Hawana ubora wowote ule wa kutisha. Kocha alichangia timu kucheza hovyo. Na mfano mzuri ni pale alipo muanzisha Nickson Kibabage kucheza namba 11!

Msuva hakuwa na match fitness! Kuachwa nje kwa George Mpoke na Sure Boy kulichangia timu kucheza bila ya malengo!
 
Goli la kwanza lawama benchi la ufundi na wachezaji hawakuangalia mechi ya Algeria vs Uganda. Goli tulilofungwa ndilo walilofungwa Uganda the same scenario.

Goli la pili walimtoa Novatus katikati ukawa uchochoro.

Wenyewe wanajua nasema ukweli
Uko sahihi kabisa. Kama benchi la ufundi na wachezaji wangeutazama ule mchezo wa Algeria na Uganda, wasingefungwa goli la kizembe kiasi kile.

Kiufupi Kocha ameishiwa mbinu za kupanga kikosi kizuri cha kumpa matokeo. Na asipo jirekebisha, basi timu yetu itashika mkia kwenye hili kundi lenye vibonde watatu.
 
Tukienda AFCON nakata rufaa CAF maana huko haitakuwa aibu tena bali ni fedheha kwa taifa. Maana tayari kule kuna Morocco, Egypt, Tunisia, South Africa, Senegal, Nigeria. Hawa wote ni sawa na wanachama wa kudumu wa mashindano ya CAF
 
Tukienda AFCON nakata rufaa CAF maana huko haitakuwa aibu tena bali ni fedheha kwa taifa. Maana tayari kule kuna Morocco, Egypt, Tunisia, South Africa, Senegal, Nigeria. Hawa wote ni sawa na wanachama wa kudumu wa mashindano ya CAF
Ili uwe Bora inabidi ucheze na waliobora wakuonyeshe udhaifu wako. Tuliwamudu Algeria katika kuwazuia wasitutawale maeneo mengi ila quality Yao bado iliwapa matokeo. Kama Algeria wanakutawala katika maeneo mengi ni hatari sana.
Walitulazimisha tufanye makosa na wakatumia nafasi chache walizopata.
Tulichofanya ni kupunguza athali za Algeria na si kuwazuia wasitufunge.
 
omba hiyo kazi ya ukocha ufundishe wewe
huna hoja! lazima tuwakosoe si wanatuita tukawaangalie uwanjani unataka wakivurunda tukae kimya? tunakosoa ili kuwafanya wawe bora kwa hiyo unataka kusema wachambuzi wote duniani wawatoe makocha wawe wao makocha?Kina Ally Mayai, Ally Kamwe wasikosoe wachovu sababu si makocha?

we kwako inaonekana ukiingia watoto na mama yao wanatafuta njia maana hutaki kukosolewa!

Huku umekosea njia huelewi soka na hukuangalia mechi, unakurupuka kucomment watu tuna hasira ya kufungwa nyumbani hebu nenda jukwaa la mapenzi ndio kwako.
 
Kwa aina ile ya wachezaji wa Algeria kweli kuna sababu ya kumlaumu kocha?
 
Na bado Algeria hii inapitia kipindi gumu sana...wakati mwingine quality ndiyo huamua matokeo, ila wale wenzetu hata Kama inacheza kawaida ila ni watu wa mbinu sana.mfano goli la Kwanza, Algeria wanafunga Sana magoli ya aina ile hata goli la pili pia ni aina ya magoli yao kwenye mechi nyingi sana...kwa ufupi ni kwamba hatuna mchezaji wa maana kwenye timu yetu,mchezaji akishacheza Simba au yanga watz huwaona Kama wachezaji bora kumbe tumejifungia tu kwenye ligi yetu ya maajabu,hatutaki kujifunza Chochote kile kuhusu mpira zaidi ya porojo,visa,uchawi na majungu...nawahakikishia kuwa kwa wachezaji wale tulionao hata tumlete guardiola au klopp tutapigwa tu yani wachezaji hata basic skills tu hawana,Kama kutuliza mpira tu ni changamoto unategemea! nini, Yani watu wanacheza ligi ya ufaransa,uhispain then utegemee nini?.Algeria sasa hivi siyo wazuri sana ila wana watu wanaotambua thamani ya muda,hatuna hata program za maana then tutegemee tushinde, Kwanza tupambane na majirani zetu Kwanza...tatizo hatutaki kuanza moja.
 
Back
Top Bottom