Kocha kimwonekano kabisa anaonekana hamna kitu halafu mnategemea mumfunge Mwarabu kwa Mkapa?

Kocha kimwonekano kabisa anaonekana hamna kitu halafu mnategemea mumfunge Mwarabu kwa Mkapa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.

Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.
 
Always makolo ni wajinga wanashangaa yanga kupata point moja mechi mbili na wanasahau wao msimu uliopita mechi mbili hawakua na point hata moja, mechi ya kwanza walichapwa moja mtungi na Horoya then wakaja wakabakwa mara tatu na mwarabu Raja Casablanca ya Morocco na leo wamesau au ndio kuijizima data
 
Plan zilikuwa tufike makundi, hapo tupo tunachukua experience mwaka ujao inshallah tukijaliwa tutakuja na malengo makubwa zaidi.

Hizi ni plan zako wewe au ndo za utopoloni kwenu na inginia? Mmeibeza sana simba ooh robo robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mmeaona mziki wakufika robo ulivyo dadeki zenu?? Mjifunze kukaa kimya kule ni kwa wakubwa ukifika robo unafanya sherehe
 
Hizi ni plan zako wewe au ndo za utopoloni kwenu na inginia? Mmeibeza sana simba ooh robo robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mmeaona mziki wakufika robo ulivyo dadeki zenu?? Mjifunze kukaa kimya kule ni kwa wakubwa ukifika robo unafanya sherehe
Kwani we hufuatilii mpira jombaa, mbona hyo rais said alishaongea tangu msimu uliopita bad luck hatukufika tukaangua shirikisho na msimu huu akarudia tena kuwa lengo Bado ni kufika group stages CL, bahati mbaya wewe unaongelea maneno ya mashabiki sisi ni watani na kutaniana ni lazima ukichukia hyo ni juu yako
 
Always makolo ni wajinga wanashangaa yanga kupata point moja mechi mbili na wanasahau wao msimu uliopita mechi mbili hawakua na point hata moja, mechi ya kwanza walichapwa moja mtungi na Horoya then wakaja wakabakwa mara tatu na mwarabu Raja Casablanca ya Morocco na leo wamesau au ndio kuijizima data
Lakin walifuzu 🤪
 
Simba mnawashwawashwa sana na mpira wenu sahivi umebakia kuwa maneno maneno tu,kujifariji kwenu ni kwa kuisema yanga! Mbona nyinyi wakongwe huko hamuongozi kundi lenu..?
Kinawawasha tu watu wazima lakini hovyo!
 
Mechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.

Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.
Hapo vipi Mzee wa Kawe Mzimuni.
IMG-20231115-WA0007.jpg


Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Always makolo ni wajinga wanashangaa yanga kupata point moja mechi mbili na wanasahau wao msimu uliopita mechi mbili hawakua na point hata moja, mechi ya kwanza walichapwa moja mtungi na Horoya then wakaja wakabakwa mara tatu na mwarabu Raja Casablanca ya Morocco na leo wamesau au ndio kuijizima data
Tatizo lao hawajitambui.
 
Mechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL.

Ukisahau kuwa hata Weekend ijayo tu Watoto wa Hayati Kwame Nkurumah wanaenda Kukupasua Kwao bila ya Huruma na ubakie na hako hako Kaalama tumoja twako.
Wewe mtu mfupi msimu ulio pita mechi mbili za mwanzo mlikua na points ngapi na goli ngapi?
 
Back
Top Bottom