Kocha kimwonekano kabisa anaonekana hamna kitu halafu mnategemea mumfunge Mwarabu kwa Mkapa?

tuwe wavilivu tusubiri
 
Wewe mbwa ulifia wapi naona matako yanauma hadi Leo kwa kukupiga bao tano panya weeeee.
 
Plan zilikuwa tufike makundi, hapo tupo tunachukua experience mwaka ujao inshallah tukijaliwa tutakuja na malengo makubwa zaidi.
Umefika final shirikisho why uplan kuishia makundi club bingwa?
Nyie si mlisema yanga atafika final club bingwa na hakuna WA kuwazuia ,acheni uoga malengo yanapaswa angalau iwe robo ambayo mnamcheka Simba kua anaishia hapo tu Kila msimu.

Kuonyesha ukubwa wenu nyie malengo yalipaswa iwe nusu Zaid ya robo anayoifikia Simba na huku mkimcheka .

Mlitembelea upepo WA marumo na vibonde wengine saiz mmeanza kuona uhalisia mnajificha kwenye malengo ya makundi.
 
Mzee yanga akifika hyo robo, utasema nini kingine
 
Said ana akili Sana maana anajua anaongoza mambuz yasio na akili.
So hata msipofika robo hamna Cha kumweleza maana tayar alishawapanga kitambo .

Ukiwa na akili timamu huwez kwenda shulen huku ukiwa na malengo ya kupata wastan D .

Mwenzenu alishaona ugumu Huko club bingwa ndipo akawawahi na nyie mmejaa ,said anajua hata shirikisho kufika final ilikua bahat ya mtende ambayo haiwez jirudia Tena.
 
Alisema nani Mangungu? Hersi ndio Rais wa club au una statement nyingine kutoka ukoloni?
 
Nyie wenye akili mliambiwa [emoji2772]FC inacheza vizuri kuliko waliofika final
 
Mkuu kwani game za group stage zimeisha? au ndio bado mnajifariji na kichapo cha goli 5 kwa kuiponda yanga?
 
Muda mwingine utumie akili ya mpira na uache ushabiki.
Yanga iliyopata mafanikio ya kucheza fainali ya CAFCC ilikuwa ni project ya muda mrefu ambapo kocha Nabi alikaa na timu kwa muda, akatengeneza Yanga iliyokuwa imara akishirikiana na uongozi kwa kumpa wachezaji waliomrahishia kazi katika majukumu yake ya kuifanya Yanga iwe timu bora. Project hiyo Yanga ikatamatika kwa timu kutoka nafasi ya mkiani kwenye rank za CAF na kuwa timu ya 18 katika rank za CAF. Project iliyotamatika kwa Yanga kucheza fainali ya CAFCC, ni project iliyotamatika kwa Yanga kuwania tuzo ya klabu bora ya msimu na kwasasa yupo kwenye top 5.

Baada ya mafanikio hayo, benchi zima la Yanga likaondoka na wachezaji kadhaa wakaondoka kwenda kutafuta changamoto zingine kwenye vilabu vingine, Hersi anaanza na project mpya chini ya Gamond, ambaye toka aanze kufundisha Yanga ana miezi takribani minne tu na timu inaendelea kutengenezwa kwa kuangalia palipo na mapungufu yawekwe sawa kuelekea katika kuifanya timu iwe imara.

Kucheza tu makundi kwa benchi jipya lililochukua timu kwa muda mfupi ni jambo la bahati pia. Kwa watu wanaojua mpira, ni kwamba kujenga timu kunahitaji muda na kulinda waliomuhimu kwenye project husika ili wabakie kwenye mpango kazi. Chini ya Gamond, mpira unachezwa unaonekana ni mpira ambao kama atapata watu kwa maeneo kadhaa yenye mapungufu mfano mmaliziaji anayejua kuji position, anayejua kufunga na mwenye kasi. Winga wa maana, n.k hapo hutosikia tena malengo ni kuingia makundi bali itaongelewa zaidi ya hapo.
 
Aisee sipati picha ungekuwa kijiweni povu linakutoka
 
Sewa tuna pointi moja, anaeongoza katika kundi ana pointi ngapi?

Huyo mwarabu mwenye point sifuri kwenye kundi lenu, bado ana matumaini, halafu unaongelea Yanga alieachwa pointi 3 na kinara wa kundi letu.

Jitatafakari!
 
try again na mangungu bado wapo sana simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…