Kocha Lwandamina aikacha klabu yangu ya Yanga SC, atimkia Zesco


Inauma sana, Lwandamina ni bonge la kocha, yaani amekuwa na timu katika kipindi kigumu cha fedha na timu kuandamwa na majeruhi lakini bado timu imekuwa na matokeo mazuri kwenye ligi kushinda timu zenye hali nzuri kama Azam na Singida.

Nenda Lwanadamina utakumbukwa kwa uvumilivu wako na kuibeba timu katika kipindi kigumu japo ni mgeni.
 
Young inamakochazaidi yawatatu ataakiondoka clubaaitatetereka chezeatem yawananch
 
Mbabe ama amesoma nyakati ameona mchangani kunamhusu sasa anakula kona
 
....Huyu Kocha aliwapa nafasi wachezaji wasio na majina kuonyesha uwezo wao..
 
Alikuwa kocha mzuri ,ila timu haikufanikiwa katika mashindano yoyote ikiwa chini yake zaidi ya kutwaa kombe la vodacom kwa magoli ya kufunga.Nafikiri pia ukwasi unachangia kudidimiza mafanikio ya yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…