Kocha Mgunda, Wachezaji wako 9 na Waganga wenu 7 tumeshamalizana nanyi, hivyo tafadhali msituangushe leo

Kocha Mgunda, Wachezaji wako 9 na Waganga wenu 7 tumeshamalizana nanyi, hivyo tafadhali msituangushe leo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Wazee wa Fitna na Roho tumeshagawana Majukumu tayari huku wengine wakiwa Khartoum Sudan ambako tumeenda kutafuta Sare (Draw) tu ili tuje kupata Alama (Points) zetu 6 tu kwa Mkapa tuwe na Jumla ya Alama 13 tutinge Robo Fainali CL.

Nikiwa Kiongozi wa Kamati ya Fitna, Umafia na Roho mbaya niliyebaki kwa Kazi Maalum Tanzania tayari nimeshamaliza kwa Tanga na sasa Washindwe wenyewe tu Coastal Union ila sasa natangulia Arusha ambako Jumapili tena nataka Mtu Mzima si tu aumbuke bali pia aumie ili waanze sasa Kuvurugana, Kutimuana na Kuchapana Bakora vizuri.

Tunachokitaka tu ni kwamba Mtu Mzima huko Tanga leo Alhamisi na Arusha Jumapili ama apate Alama 1 au 2 tu ila tutafurahi zaidi kama akipata Alama 0 kote kote. Tunajua IGP ni Mshabiki wa Mtu Mzima hivyo anaweza aka influence matokeo ya Mechi ya Jumapili kwakuwa wanaocheza ni Boss wao Kiutendaji ila tunamwambia tu ndani ya hiyo Timu yake tuna Mamluki wetu 5 hivyo ajiandae tu Kisaikolojia kwa matokeo atakayoyapata.

Coastal Union na Polisi Tanzania msituangushe.
 
Wazee wa Fitna na Roho tumeshagawana Majukumu tayari huku wengine wakiwa Khartoum Sudan ambako tumeenda kutafuta Sare ( Draw ) tu ili tuje kupata Alama ( Points ) zetu 6 tu kwa Mkapa tuwe na Jumla ya Alama 13 tutinge Robo Fainali CL.

Nikiwa Kiongozi wa Kamati ya Fitna, Umafia na Roho mbaya niliyebaki kwa Kazi Maalum Tanzania tayari nimeshamaliza kwa Tanga na sasa Washindwe wenyewe tu Coastal Union ila sasa natangulia Arusha ambako Jumapili tena nataka Mtu Mzima si tu aumbuke bali pia aumie ili waanze sasa Kuvurugana, Kutimuana na Kuchapana Bakora vizuri.

Tunachokitaka tu ni kwamba Mtu Mzima huko Tanga leo Alhamisi na Arusha Jumapili ama apate Alama 1 au 2 tu ila tutafurahi zaidi kama akipata Alama 0 kote kote. Tunajua IGP ni Mshabiki wa Mtu Mzima hivyo anaweza aka influence matokeo ya Mechi ya Jumapili kwakuwa wanaocheza ni Boss wao Kiutendaji ila tunamwambia tu ndani ya hiyo Timu yake tuna Mamluki wetu 5 hivyo ajiandae tu Kisaikolojia kwa matokeo atakayoyapata.

Coastal Union na Polisi TZ msituangushe.
Kama hicho unachotuaminisha ingekuwa ni kweli basi tungeshachukua kombe la dunia.

Vv
 
Hahaaa karibu simba mkuu utapata presha za bure wakati timu simba haijafunga dirisha la kupokea mashabiki toka utopolooni
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
[emoji1787

Hahaaa karibu simba mkuu utapata presha za bure wakati timu simba haijafunga dirisha la kupokea mashabiki toka utopolooni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niombe radhi wewe! Mimi ni Simba
Sema Jenta ni ovyo ovyo uandishi wake nowdays
 
Wazee wa Fitna na Roho tumeshagawana Majukumu tayari huku wengine wakiwa Khartoum Sudan ambako tumeenda kutafuta Sare (Draw) tu ili tuje kupata Alama (Points) zetu 6 tu kwa Mkapa tuwe na Jumla ya Alama 13 tutinge Robo Fainali CL.

Nikiwa Kiongozi wa Kamati ya Fitna, Umafia na Roho mbaya niliyebaki kwa Kazi Maalum Tanzania tayari nimeshamaliza kwa Tanga na sasa Washindwe wenyewe tu Coastal Union ila sasa natangulia Arusha ambako Jumapili tena nataka Mtu Mzima si tu aumbuke bali pia aumie ili waanze sasa Kuvurugana, Kutimuana na Kuchapana Bakora vizuri.

Tunachokitaka tu ni kwamba Mtu Mzima huko Tanga leo Alhamisi na Arusha Jumapili ama apate Alama 1 au 2 tu ila tutafurahi zaidi kama akipata Alama 0 kote kote. Tunajua IGP ni Mshabiki wa Mtu Mzima hivyo anaweza aka influence matokeo ya Mechi ya Jumapili kwakuwa wanaocheza ni Boss wao Kiutendaji ila tunamwambia tu ndani ya hiyo Timu yake tuna Mamluki wetu 5 hivyo ajiandae tu Kisaikolojia kwa matokeo atakayoyapata.

Coastal Union na Polisi Tanzania msituangushe.
Tayari kidimbwi kimeshatibuliwa huko
 
Back
Top Bottom