Kocha Mgunda, Wachezaji wako 9 na Waganga wenu 7 tumeshamalizana nanyi, hivyo tafadhali msituangushe leo

Kocha Mgunda, Wachezaji wako 9 na Waganga wenu 7 tumeshamalizana nanyi, hivyo tafadhali msituangushe leo

Naapia haki ya Mungu... Maendeleo ya mpira Tanzania tusahau
 
Mliokuwa mkinidharau na kutoniamini mpo wapi sasa? Na hapo ( hapa ) bado. Subirini na Arusha dhidi ya Polisi Tanzania FC ambapo tayari nimeshafika kuendelea na Umafia nilioufanya Tanga.
 
Mliokuwa mkinidharau na kutoniamini mpo wapi sasa? Na hapo ( hapa ) bado. Subirini na Arusha dhidi ya Polisi Tanzania FC ambapo tayari nimeshafika kuendelea na Umafia nilioufanya Tanga.
Kaza mwanangu! Wakipigwa na huko arusha NAKUAHIDI VOCHA YA 1000!
nisipotimiza Moderator Active mnipige ban ya mwezi
 
Huyo hapo aliyenoa kisu cha ngariba
IMG-20210304-WA0018.jpg
 
Bado yasingekuja... Na hayatokuja kamwe... Uchawi, kuhonga, marefa wabovu, viongozi wa wabovu wa soka, viwanja vibovu ndio vinaharibu mpira wa Tanzania...

Fungeni magoli afu tuone kama hao marefa watayakataa

Kaze ni Sarpong aliye kocha
 
Mliokuwa mkinidharau na kutoniamini mpo wapi sasa? Na hapo ( hapa ) bado. Subirini na Arusha dhidi ya Polisi Tanzania FC ambapo tayari nimeshafika kuendelea na Umafia nilioufanya Tanga.
Kweli mmekunywa maji yaliyo safishia vidaso vya hedhi Daah!.
IMG-20210304-WA0081.jpg
 
Back
Top Bottom