SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Bikra imeshatatuliwa huko kudadadeqKama tulivyowakeketa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikra imeshatatuliwa huko kudadadeqKama tulivyowakeketa
Ipi?Kazi yenu imeonekana.
Soma uzi ueleweIpi?
Maendeleo hayaji utopolo mkifungwa? Mngeshinda je?Naapia haki ya Mungu... Maendeleo ya mpira Tanzania tusahau
Bado yasingekuja... Na hayatokuja kamwe... Uchawi, kuhonga, marefa wabovu, viongozi wa wabovu wa soka, viwanja vibovu ndio vinaharibu mpira wa Tanzania...Maendeleo hayaji utopolo mkifungwa? Mngeshinda je?
Nimecoment hivi kutokana na mtazamo wa wazi wa kutumia uchawi na fitina anaousema huyu GentaMaendeleo hayaji utopolo mkifungwa? Mngeshinda je?
Kaza mwanangu! Wakipigwa na huko arusha NAKUAHIDI VOCHA YA 1000!Mliokuwa mkinidharau na kutoniamini mpo wapi sasa? Na hapo ( hapa ) bado. Subirini na Arusha dhidi ya Polisi Tanzania FC ambapo tayari nimeshafika kuendelea na Umafia nilioufanya Tanga.
Bikra imetolewa kibabe sana kudadadeqMliokuwa mkinidharau na kutoniamini mpo wapi sasa? Na hapo ( hapa ) bado. Subirini na Arusha dhidi ya Polisi Tanzania FC ambapo tayari nimeshafika kuendelea na Umafia nilioufanya Tanga.
Nimekuelewa mkuu.Nimecoment hivi kutokana na mtazamo wa wazi wa kutumia uchawi na fitina anaousema huyu Genta
Bado yasingekuja... Na hayatokuja kamwe... Uchawi, kuhonga, marefa wabovu, viongozi wa wabovu wa soka, viwanja vibovu ndio vinaharibu mpira wa Tanzania...
Kweli mmekunywa maji yaliyo safishia vidaso vya hedhi Daah!.Mliokuwa mkinidharau na kutoniamini mpo wapi sasa? Na hapo ( hapa ) bado. Subirini na Arusha dhidi ya Polisi Tanzania FC ambapo tayari nimeshafika kuendelea na Umafia nilioufanya Tanga.