Wana Lunyas nani awe kocha mkuu kati ya hao mabwana wawili, Robertnho wa Vipers ya Uganda au Bwana Julian chavelier wa ASEC Mimosa?
Kwa upande wa Bwana Robertnho wa Vipers msimu jana kacheza mechi 30, kashinda 23, katoa sare 5 na kapoteza 2. KamaLiza msimu na point 74.
Kwa bwana mdogo wa ASEC Mimosos, msimu jana kaiongoza timu yake kutwaa ubingwa wa ligi hiyo. Ambapo katika mechi 26 kashinda 21, katoa sare 4 na ka kapoteza 1. Kamaliza msimu na poinT 67.
Kulingana ma tetesi hawa ndio makocha ambao wanapigiwa upatu kuchukua nafasi ya Zoran Mak.
Kwa upande wako wewe mwana Lunyas, nani achukuliwe mapema kati yao?
Kwa upande wa Bwana Robertnho wa Vipers msimu jana kacheza mechi 30, kashinda 23, katoa sare 5 na kapoteza 2. KamaLiza msimu na point 74.
Kwa bwana mdogo wa ASEC Mimosos, msimu jana kaiongoza timu yake kutwaa ubingwa wa ligi hiyo. Ambapo katika mechi 26 kashinda 21, katoa sare 4 na ka kapoteza 1. Kamaliza msimu na poinT 67.
Kulingana ma tetesi hawa ndio makocha ambao wanapigiwa upatu kuchukua nafasi ya Zoran Mak.
Kwa upande wako wewe mwana Lunyas, nani achukuliwe mapema kati yao?