Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

Messi huyu jamaa enzi akiwa kwenye peak pale Barca, alikuwa naufanya mpira uonekane ni kitu rahisi mno...

Ilikuwa burudani sana kumtazama yeye na kina Iniesta wakitandaza kabumbu moja maridhawa sana...

Mara nyingi Messi asipocheza huwa siangalii game
 
Watu wa (Ronaldo na Gaucho kwa pamoja)

Angalieni hii kitu, ronaldo au gaucho wanaweza?
 
Aina ya uchezaji Messi anafanana na Maradona so Messi ni second version ya Maradona iliyo focus kwenye mpira wa kisasa wa numbers.
Kwa hilo nakataa.
Messi ana utofauti mwingi na maradona kuliko mfanano hususan katika dribbling skills.
 
Back
Top Bottom