Kocha Mkuu wa Simba Achoshwa na wachezaji Wazee

Sasa huyo sio mzee, elewa swali
Kwenye mpira kijana ni kati ya miaka 15-29,kuanzia miaka 30 hadi 36 hao ni wachezaji wazee ,huwa akili na mwili havina mawasiliano ya haraka na wakiumia wanachelewa kupona
 
Kwenye mpira kijana ni kati ya miaka 15-29,kuanzia miaka 30 hadi 36 hao ni wachezaji wazee ,huwa akili na mwili havina mawasiliano ya haraka na wakiumia wanachelewa kupona
Sasa kauliza uzee unaanza miaka ngap? Hajauliza uzee wa wachezaji unaanza miaka ngap? Umeelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…