Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Kuanzia miaka 2 chini ya BoccoKwani uzee ni kuanzia miaka mingapi
kwenye mpira 30 unakuwa kijeba.Kwani uzee ni kuanzia miaka mingapi
Sasa huyo sio mzee, elewa swalikwenye mpira 30 unakuwa kijeba.
uwapange hao afu timu ifungwe - aisee watakuletea mabegi yako airport.Vijana si wapo akina Peter Banda na Mohammed Musa, mbona sasa hawapi nafasi?
Wazee wachawi wa Msimbazi ndio wanapanga kikosi cha kuingia uwanjani kimkundumkundu we kundu wa msimbaziVijana si wapo akina Peter Banda na Mohammed Musa, mbona sasa hawapi nafasi?
Kwenye mpira kijana ni kati ya miaka 15-29,kuanzia miaka 30 hadi 36 hao ni wachezaji wazee ,huwa akili na mwili havina mawasiliano ya haraka na wakiumia wanachelewa kuponaSasa huyo sio mzee, elewa swali
Sasa kauliza uzee unaanza miaka ngap? Hajauliza uzee wa wachezaji unaanza miaka ngap? Umeelewa mkuuKwenye mpira kijana ni kati ya miaka 15-29,kuanzia miaka 30 hadi 36 hao ni wachezaji wazee ,huwa akili na mwili havina mawasiliano ya haraka na wakiumia wanachelewa kupona
Nimekuelewa shangazi.Wazee wachawi wa Msimbazi ndio wanapanga kikosi cha kuingia uwanjani kimkundumkundu we kundu wa msimbazi
Mimi sio shangazi yako,Nimekuelewa shangazi.
Mwenzio tajiri lakini, wewe maskiniThimba guvu moya Mwamedi FC.
Sana tu, mi hata hela kauzu shida.Mwenzio tajiri lakini
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......ndumku.Wazee wachawi wa Msimbazi ndio wanapanga kikosi cha kuingia uwanjani kimkundumkundu we kundu wa msimbazi