Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
“Kwa kifupi sina cha kusema kuhusu Yanga wamenizidi karibia kila eneo kwenye michezo yote miwili hilo napaswa kulikubali, lakini pia siwezi kuzungumzia kuhusu goli lao kama ni halali au sio halali kwakuwa naelewa hata ingekuwa mimi ni Yanga nisingesema tofauti”
Coach Rulani Mokwena kwenye Press na Waandishi wa Habari.
Coach Rulani Mokwena kwenye Press na Waandishi wa Habari.