Kocha Morocco amrudisha Fei Toto Yanga

Yanga walivyo serious na maisha hana namba tena pale hakuna mtu wa kuwekwa bench na fei... Asubiri msimu uishe atafanyiwa uhuni hata sahau mpira wa bongo
Itakua kama kwa Morrison, msimu ukianza na jina lake linatangazwa ni mchezaji wa Yanga. Sasa sijui hapo yanga atafaidika nn maana anaendelea kumlipa na kazi hafanyi.
 
Yule mtoto wa baresa ni Simba lialia namkumbuka ,Simba ikifungwa wapambe wake wanapata tabu Sana
 
Kwamba FEI Toto hajawahi kuangalia ata behavior ya wachezaji wa Ulaya? Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu make timu inaweza kukuaribia kipaji chako wakati wowote.
Asitake huruma ya Yanga nje ya utaratibu wa mkataba...hii ndiyo sababu ya wenzetu waliweka utaratibu wa kuwa ba Agent. Kama aliashauriwa vibaya akatia wino kwenye mkataba inayomuumiza angevumilia hadi mwisho wakati huo anatafuta patakapomlipa vizuri.
 
Kuna mapopoma yalimfuata yakachezea akili zake, akaona kabisa tayari yeye ni star kuliko timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…