Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
FADLU: HAWA YANGA HAWATUZIDI CHOCHOTE.
"Hakuna utofauti mkubwa wa ubora wa wachezaji baina ya Simba na Yanga lakini utofauti uliopo tu ni kwamba wao wamekaa muda mrefu na sisi tunamaingizo zaidi ya 10 mapya hiyo inaweza kuwa faida kwao lakini pia kwakuwa nao hawajawahi kutuona pia ni faida kwetu kwakuwa hawajui ni namna gani tutaingia kwenye mchezo hivyo utakuwa mcheo wa wazi. "
" Tunavipaji vingi kwenye timu na tunaendelea kujenga umoja tunachukua mchezo huu kama michezo mingine na hatuna presha
Tunaingia kucheza kwa ajili ya kushinda na ni mchezo utaotupa picha ya kuelekea msimu ujao nimi cha kufanya zaidi ?
Hii ni timu mpya na project mpya mechi tulizocheza zinaendelea kutujenga na taratibu tutaendelea kuimarika
Hatuwezi kuzuia muda wote wala kushambulia muda wote lakini tutatengeneza mpango ambao tutaweza kushinda "
David Fadlu, Kocha Simba SC kuelekea mchezo vs Yanga
NB: Je huyu kocha tumuambie ukweli....au tumuache???
.
"Hakuna utofauti mkubwa wa ubora wa wachezaji baina ya Simba na Yanga lakini utofauti uliopo tu ni kwamba wao wamekaa muda mrefu na sisi tunamaingizo zaidi ya 10 mapya hiyo inaweza kuwa faida kwao lakini pia kwakuwa nao hawajawahi kutuona pia ni faida kwetu kwakuwa hawajui ni namna gani tutaingia kwenye mchezo hivyo utakuwa mcheo wa wazi. "
" Tunavipaji vingi kwenye timu na tunaendelea kujenga umoja tunachukua mchezo huu kama michezo mingine na hatuna presha
Tunaingia kucheza kwa ajili ya kushinda na ni mchezo utaotupa picha ya kuelekea msimu ujao nimi cha kufanya zaidi ?
Hii ni timu mpya na project mpya mechi tulizocheza zinaendelea kutujenga na taratibu tutaendelea kuimarika
Hatuwezi kuzuia muda wote wala kushambulia muda wote lakini tutatengeneza mpango ambao tutaweza kushinda "
David Fadlu, Kocha Simba SC kuelekea mchezo vs Yanga
NB: Je huyu kocha tumuambie ukweli....au tumuache???
.