mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Ili huyo kocha afanye kaz kwa ufasaha lazima maxime atimuliwe hapo manungu, maxime akibaki hapo itakuwa sawa na bure...Ni yule Mbelgiji Piet de Mol.Pichani akiwa na kiongozi wa MTIBWA SUGAR Jamal Bayser ofisini kwake leo asbh.
Watanzania hatupendi kujifunza huyo maxime ataleta fitina mpaka huyo kocha atimuliwe..