Kocha mpya wa Simba(MBUMBUMBU)hana maajabu yoyote kwenye Soka

Au kocha wa Tanzania alieyewahi kuwa hata kocha msaidizi wa timu hata ya daraja la nne ktk nchi za Ulaya hata zile ndogo Sana kisoka.
 
Huyu ESCOBER amekuja kuuza madawa ya kulevya msimbazi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
atakuaje kocha Bora na wachezaji analetewa ameletewa.....kazi ipo
 
Yaani hicho ndio kimekuchekesha, na kikameki yua dei? Au kuna tatizo mahali mwilini!
 
Binafsi naona tatizo lipo kwa hawa Giants wetu 2 wa soka hapa Bongo yaani Yanga na Simba. Wakimpata Kocha wanamkweza utadhani yeye ndio atakuwa golikipa, beki, kiungo na mshambuliaji. Wakiacha huo ujinga wakusifia makocha wanaowaajiri kutakuwa hakuna malumbano kama haya yasiyo na tija.
 
Shis is shimba
 
Kwanza sio kweli kuwa wamemtimua baada ya miezi mitatu na kumbuka alikua Madrid msimu wa mwaka juzi

Sasa jiulize Madrid walikua hawaoni madhaifu yake ya nyuma huko alipopita akifundisha team kama Getafe na zingine
Walimtimua baada ya muda gani? Na kwanini wamtimue?
 
Naona mazuzu wamecharuka kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani hicho ndio kimekuchekesha, na kikameki yua dei? Au kuna tatizo mahali mwilini!
Bwabwa ilo,ukiona jinsia ya kiume inacheka na viemoji na vineno vya kiingereza hujue bwabwa linapumuliwa kisogoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…