Kocha mpya wa Yanga ni Zlatko Krmpotic

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
RASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki kilele cha #WikiYaMwananchi

 
Hapo wametoa tu kichwa cha JPM wakaweka picha ya uyo kocha wa rede, wakabadili maneno wakapost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…