Kocha mwenye sifa za kuporomosha kila timu anayopewa. Fadlu David kaishaua uwezo wa kila mchezaji Simba Na mbeleko zote toka mechi ya Azam

Kocha bado anajitafuta sana sjajua kama Simba watamvumilia mpaka msimu uishe. Hilo sidhani.
Hivi uyu kocha ana muda Gani tokea amekuja pale Simba? Uwezi kusema unajenga timu Kila siku na umeshacheza mechi za kimashindano rasmi za kutosha, icho ni kichaka cha kujifichia,,uwezo wa wachezaji wa Simba ndio umeishia hapo akuna kingine watachoongeza,,na uwezo wa kocha umeishia hapo!
 
Bado timu inajengwa. Simba hii subirini msimu uao mtaona moto wake
 
Nahisi moja ya kigezo walichotumia Simba kusajili kocha ni awe anatoka nje ya Tanzania na kudai msgahara mdogo.
 
Utakuwa hauko sawa aisee.!
Jizuie Mkuu, usije ukajidhuru.
Nilisema ataua vipawa.
Leo niambie kwanini uafaanisi wa ahoa unashuka na mavambo?Naomba uje leo sasa tuzungumzie viwango vya wachezaji vinapanda au ndio nilivyosema yuko wapi balua na mavambo?
 
Nahisi moja ya kigezo walichotumia Simba kusajili kocha ni awe anatoka nje ya Tanzania na kudai msgahara mdogo.
Ahahaha🤣🤣🤣 mhindi alibana matumizi akaona atafute kocha Bei chee na wachezaji Bei chee,,alafu mashabiki wanatoa povu kuwalaumu wachezaji wakati viwango vyao ndio vimeishia hapo na kocha nae uwezo wake ni wa kuzifundisha Namungo ama kmc sio Simba!
 
Nakuunga mkono hoja...huyu ni Average coach anaejitafuta Simba ....Ili baadae atukache aende kwengine baada ya kumpa cv nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…