Simba ipi imeanzishwa Mwaka 1939? Kama ni hii wafalme wa kabumbu Africa mashariki na Kati utakua umekosea...maana Simba ya Tanzania iliyopelekea nchi kupeleka Timu nne katika michuano ya Ngazi ya vilabu vya CAF imeanzishwa Mwaka 1936.kumbe historia ya simba na yanga huijui? yanga ilianzishwa mwaka 1935 na waafrika wazawa . simba ilianzishwa mwaka 1939 na wahindi na waarabu wa kariakoo, hawa wahindi na waarabu walikuwa hawaipendi yanga kwa sababu yanga ilikuwa timu ya waafrika, ndio wakaanzisha simba
sasa kama tff inafanya mambo ya hovyo akae kimya tu?Huyu kocha ana tabia za kiswahili swahili sana, ambapo kila janga linalompata mswahili husingizia watu wengine. Kauli kama nimerogwa, sipendwi, wananifitini, wananihujumu, ndio visingio vya haraka kuelezea magumu anayopitia mtu. Hata pale mtu ana ugonjwa uoelezeka na inajulikana unapatikana vipi, lakini bado watasingizia kurogwa na mawifi, majirani, n.k
Yanga, Simba, Coastal, Mtibwa zote zimepata short notice na zote zimecheza saa 8 mchana isipokuwa Zahara ndio anajifanya ana haki peke yake ya kutoa malalamiko ya kitotokitoto. Anadhani yeye ndio ana haki ya kutoa maoni peke yake ya malalamiko?
Uongozi wa Yanga uwe makini na kocha huyu, atawaingiza mkenge asipofungwa breki.
Hatuwezi kufika magoli ya Yanga yanakataliwa Bila ya sababu za msingi huku mikia hata goli la offside linakubaliwa.. tunadanganywa ligi yetu ni bora inakuwaje Kati ya nchi 33 marefa waliochaguliwa AFCON 2019 Hakuna mtanzania hata mmoja..
Hujui sheria za soka ndio maana yule mama hajachezesha mechi ya Simba tena. . Ninja aliupiga mpira ukakatika was not intentionally.. Kagere alikuwa offside position. . Ndio maana beki akiokoa mpira ukakatika kipa wake anaruhusiwa kudaka. . Tusome hivi vitu vigumu kutafsiri Waingereza sio watu wazuriHuo ni mchezo, Okwi alifunga goli safi kabisa dhidi ya Yanga September 30, 2018 lakini mwamuzi akalikataa na Yanga ikafurahia sare ya 0-0. Mbona hakulalalimika?
tff inaibeba sana simba
kumbe historia ya simba na yanga huijui? yanga ilianzishwa mwaka 1935 na waafrika wazawa . simba ilianzishwa mwaka 1939 na wahindi na waarabu wa kariakoo, hawa wahindi na waarabu walikuwa hawaipendi yanga kwa sababu yanga ilikuwa timu ya waafrika, ndio wakaanzisha simba
Waarabu wa Moro wamewashika pabaya.. tena mchana jua kali.Hatuwezi kufika magoli ya Yanga yanakataliwa Bila ya sababu za msingi huku mikia hata goli la offside linakubaliwa.. tunadanganywa ligi yetu ni bora inakuwaje Kati ya nchi 33 marefa waliochaguliwa AFCON 2019 Hakuna mtanzania hata mmoja..
Tuanze na Yanga vs Simba.. game ya kwanza 0-0sasa kuna maana gani ya ligi kama simba wanapendelewa? kama tff wanaipenda simba wazifute timu zote waibakize simba wawe wanawapa ubingwa kila mwaka bila kucheza. timu zote zinalalamika simba kubebwa unadhani ni wajinga?
Rangi inahusiana nini na soka.. huoni SADIO MANE anampasia gozi FIRMINO pale Liverpool.yanga timu ya wananchi wazawa waafrika . simba timu ya wahindi na waarabu. wahindi wanawashangaa nyie waafrika kushabikia timu yao
Hawa vyura kelele zao hazizuii Azam kuwalamba.Vp na kule kwenye azam federation simba wanabebwa, jana simba kacheza na coast na kaondoka baada ya game kurudi dar , hivi leo anaondoka kwenda kagera, kwa ratiba hii isiyo rafiki kwa afya za wachezaji bado unasema simba inabebwa
Simba ni timu pekee ambayo Zahera alikubali iko vzr kuliko timu yake.. baada ya MK14 Kufanya yake.Mwache huyo mjamaa,
Huyo atakuwa ni yule alimuwemweka rehani mkewe siku Simba iliyomfunga Vita.
Ni aina ya washabiki wanaotaka timu yao ishinde kila mechi.
Ikiongozwa na kocha wao Zahera Mwinyimkuu.
Zahera hata hana tabia ya kuipongeza timu pinzani inayomfunga Yanga.
Yeye na washabiki wake wanaona ushindi ndio haki Ya Yanga Pekee
Na wanadai hiyo ni Timu ya Wananchi
Hivyo ni lazima wadekezwe na kupendelewa wao pekee.
Sisi wahamiaji tunaishangilia Simba isiyo na makuu.
Huyu jamaa akifungwa waga anasababu za kijinga kama klopp wa liverfoolPovu baada ya kufungwa na Mtibwa. Ashauriwe kujikita na mechi zake,kama uendeshaji au maamuzi yana shida basi izungumzie game zake tu. Hili la kurukia progress ya Simba na kuihusisha na kushindwa kwake ni kama kuwatafutia TFF sababu za kumfungia.
Mpira unachezwa hadharani,Yanga haiko vizuri,haina wachezaji wa kulazimisha matokeo kama kina Boko na Kagere,haiwezi kutoboa
Ubabaishaji wa kubadilishia mda wa mechi kulimzuia makoambo kufunga gaol au ?Zahara amezungumza Kitu cha kweli, fahamu Amezungumza Wakati Yanga ilipokua ikishiriki Mashindano ya Caf nailivyokua ikitendewa na Tff iliyopo sasa. Asichofahamu Zahera Sisi Watanzania bado Hatujawa Tayari Kucheza Mpira. Aendezake Walipo tayari apa anapoteza muda. Kunaubabaishaji wakiwango chajuu Sana. Anaongea vituvya msingi lakini Hakuna atakae kuelewa kwakua Utaonekana unatafuta visingizio. Tuna vilaza wengi wanao ongoza Mpira,Kwenye vilabu mbaka Tff.
Kumbe Jana Hajawina.
Kila Akikosa Kuwina Lawama Zote Anaitwisha TFF na Simba SC.
Akiwina Anazungumza Kifaransa na Kilingala.