Kocha Mwinyi Zahera ameelemewa,asaidiwe ushauri nasaha

Kocha Mwinyi Zahera ameelemewa,asaidiwe ushauri nasaha

kumbe historia ya simba na yanga huijui? yanga ilianzishwa mwaka 1935 na waafrika wazawa . simba ilianzishwa mwaka 1939 na wahindi na waarabu wa kariakoo, hawa wahindi na waarabu walikuwa hawaipendi yanga kwa sababu yanga ilikuwa timu ya waafrika, ndio wakaanzisha simba
Simba ipi imeanzishwa Mwaka 1939? Kama ni hii wafalme wa kabumbu Africa mashariki na Kati utakua umekosea...maana Simba ya Tanzania iliyopelekea nchi kupeleka Timu nne katika michuano ya Ngazi ya vilabu vya CAF imeanzishwa Mwaka 1936.
 
Huyu kocha ana tabia za kiswahili swahili sana, ambapo kila janga linalompata mswahili husingizia watu wengine. Kauli kama nimerogwa, sipendwi, wananifitini, wananihujumu, ndio visingio vya haraka kuelezea magumu anayopitia mtu. Hata pale mtu ana ugonjwa uoelezeka na inajulikana unapatikana vipi, lakini bado watasingizia kurogwa na mawifi, majirani, n.k
Yanga, Simba, Coastal, Mtibwa zote zimepata short notice na zote zimecheza saa 8 mchana isipokuwa Zahara ndio anajifanya ana haki peke yake ya kutoa malalamiko ya kitotokitoto. Anadhani yeye ndio ana haki ya kutoa maoni peke yake ya malalamiko?
Uongozi wa Yanga uwe makini na kocha huyu, atawaingiza mkenge asipofungwa breki.
sasa kama tff inafanya mambo ya hovyo akae kimya tu?
 
Hatuwezi kufika magoli ya Yanga yanakataliwa Bila ya sababu za msingi huku mikia hata goli la offside linakubaliwa.. tunadanganywa ligi yetu ni bora inakuwaje Kati ya nchi 33 marefa waliochaguliwa AFCON 2019 Hakuna mtanzania hata mmoja..
 
Hatuwezi kufika magoli ya Yanga yanakataliwa Bila ya sababu za msingi huku mikia hata goli la offside linakubaliwa.. tunadanganywa ligi yetu ni bora inakuwaje Kati ya nchi 33 marefa waliochaguliwa AFCON 2019 Hakuna mtanzania hata mmoja..

Huo ni mchezo, Okwi alifunga goli safi kabisa dhidi ya Yanga September 30, 2018 lakini mwamuzi akalikataa na Yanga ikafurahia sare ya 0-0. Mbona hakulalalimika?
 
Huo ni mchezo, Okwi alifunga goli safi kabisa dhidi ya Yanga September 30, 2018 lakini mwamuzi akalikataa na Yanga ikafurahia sare ya 0-0. Mbona hakulalalimika?
Hujui sheria za soka ndio maana yule mama hajachezesha mechi ya Simba tena. . Ninja aliupiga mpira ukakatika was not intentionally.. Kagere alikuwa offside position. . Ndio maana beki akiokoa mpira ukakatika kipa wake anaruhusiwa kudaka. . Tusome hivi vitu vigumu kutafsiri Waingereza sio watu wazuri
 
kumbe historia ya simba na yanga huijui? yanga ilianzishwa mwaka 1935 na waafrika wazawa . simba ilianzishwa mwaka 1939 na wahindi na waarabu wa kariakoo, hawa wahindi na waarabu walikuwa hawaipendi yanga kwa sababu yanga ilikuwa timu ya waafrika, ndio wakaanzisha simba

Yaan umeongea kitu ambacho hakina mantiki
Real Madrid makao makuu yake hispainia lkn ina mashabiki duniani kote
Manchester United ipo UK ina mashabiki Tz
Chelsea ipo UK ina mashabiki Tz na duniani kote
Sembuse simba ipo Tz kwetu tunaiona kila muda
Kama maneno yako yangekuwa yana logic timu za ulaya zisingekuwa na mashabiki Africa au Asia
Ktk kombe la dunia watu wanashibikia timu bila ya kujali nchi tumeona watu walivyoshabikia ufaransa na si wafaransa
Najua unayo timu ulaya je na ww mzungu?
 
Mutatafuta mchawi mpaka uchawini lakini mchawi wenu yanga ni ukata mkubwa na sio waamuzi wala simba. Adui muombee njaa. Hahahahaaa
 
Hatuwezi kufika magoli ya Yanga yanakataliwa Bila ya sababu za msingi huku mikia hata goli la offside linakubaliwa.. tunadanganywa ligi yetu ni bora inakuwaje Kati ya nchi 33 marefa waliochaguliwa AFCON 2019 Hakuna mtanzania hata mmoja..
Waarabu wa Moro wamewashika pabaya.. tena mchana jua kali.
 
sasa kuna maana gani ya ligi kama simba wanapendelewa? kama tff wanaipenda simba wazifute timu zote waibakize simba wawe wanawapa ubingwa kila mwaka bila kucheza. timu zote zinalalamika simba kubebwa unadhani ni wajinga?
Tuanze na Yanga vs Simba.. game ya kwanza 0-0
Ya pili mkala 1-0 , tukio gani tulibebwa?
Then twende ya Azam hadi tumalize.
Au ndio mmetumwa kutafuta sababu wkt timu yenu inawin kibahati tu.
 
yanga timu ya wananchi wazawa waafrika . simba timu ya wahindi na waarabu. wahindi wanawashangaa nyie waafrika kushabikia timu yao
Rangi inahusiana nini na soka.. huoni SADIO MANE anampasia gozi FIRMINO pale Liverpool.
Halafu tusifike huko, kwani ulivyoshangilia AL AHLY wewe ni mwarabu?
 
Vp na kule kwenye azam federation simba wanabebwa, jana simba kacheza na coast na kaondoka baada ya game kurudi dar , hivi leo anaondoka kwenda kagera, kwa ratiba hii isiyo rafiki kwa afya za wachezaji bado unasema simba inabebwa
Hawa vyura kelele zao hazizuii Azam kuwalamba.
 
Mwache huyo mjamaa,
Huyo atakuwa ni yule alimuwemweka rehani mkewe siku Simba iliyomfunga Vita.
Ni aina ya washabiki wanaotaka timu yao ishinde kila mechi.
Ikiongozwa na kocha wao Zahera Mwinyimkuu.
Zahera hata hana tabia ya kuipongeza timu pinzani inayomfunga Yanga.
Yeye na washabiki wake wanaona ushindi ndio haki Ya Yanga Pekee
Na wanadai hiyo ni Timu ya Wananchi
Hivyo ni lazima wadekezwe na kupendelewa wao pekee.
Sisi wahamiaji tunaishangilia Simba isiyo na makuu.
Simba ni timu pekee ambayo Zahera alikubali iko vzr kuliko timu yake.. baada ya MK14 Kufanya yake.
Ajabu leo wanadai wao wana timu nzuri ya kuwin kuliko Simba.
Mchawi bhana!!
 
Inaboaga, pale upo unachochea baiskeli ya Avon, Swala, Gazebo au Phoenix tena umesimamia na majasho then jamaa linakuja nyuma na pikpk ya Yamaha tena slow then linakupita!!


Haya Masimba bana, yatamuua mkongo wa watu!
 
Si aondoke tu kwani amefungwa kamba au hao yanga ni wakwe zake
 

Povu baada ya kufungwa na Mtibwa. Ashauriwe kujikita na mechi zake,kama uendeshaji au maamuzi yana shida basi izungumzie game zake tu. Hili la kurukia progress ya Simba na kuihusisha na kushindwa kwake ni kama kuwatafutia TFF sababu za kumfungia.

Mpira unachezwa hadharani,Yanga haiko vizuri,haina wachezaji wa kulazimisha matokeo kama kina Boko na Kagere,haiwezi kutoboa
Huyu jamaa akifungwa waga anasababu za kijinga kama klopp wa liverfool
 
Zahara amezungumza Kitu cha kweli, fahamu Amezungumza Wakati Yanga ilipokua ikishiriki Mashindano ya Caf nailivyokua ikitendewa na Tff iliyopo sasa. Asichofahamu Zahera Sisi Watanzania bado Hatujawa Tayari Kucheza Mpira. Aendezake Walipo tayari apa anapoteza muda. Kunaubabaishaji wakiwango chajuu Sana. Anaongea vituvya msingi lakini Hakuna atakae kuelewa kwakua Utaonekana unatafuta visingizio. Tuna vilaza wengi wanao ongoza Mpira,Kwenye vilabu mbaka Tff.
Ubabaishaji wa kubadilishia mda wa mechi kulimzuia makoambo kufunga gaol au ?
 
Nikutumie sh ngap unitumie vichekesho kama hivi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe Jana Hajawina.
Kila Akikosa Kuwina Lawama Zote Anaitwisha TFF na Simba SC.
Akiwina Anazungumza Kifaransa na Kilingala.
 
Back
Top Bottom