Huyu kocha ana tabia za kiswahili swahili sana, ambapo kila janga linalompata mswahili husingizia watu wengine. Kauli kama nimerogwa, sipendwi, wananifitini, wananihujumu, ndio visingio vya haraka kuelezea magumu anayopitia mtu. Hata pale mtu ana ugonjwa uoelezeka na inajulikana unapatikana vipi, lakini bado watasingizia kurogwa na mawifi, majirani, n.k
Yanga, Simba, Coastal, Mtibwa zote zimepata short notice na zote zimecheza saa 8 mchana isipokuwa Zahara ndio anajifanya ana haki peke yake ya kutoa malalamiko ya kitotokitoto. Anadhani yeye ndio ana haki ya kutoa maoni peke yake ya malalamiko?
Uongozi wa Yanga uwe makini na kocha huyu, atawaingiza mkenge asipofungwa breki.