GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mechi inayofuata, Zahera Anachaeza na Azam.
Nitafuatilia Kusikia Atakacho Zangumza Baada ya Mchezo.
Akifungwa tu Lazima Atailaumu Simba SC, na TFF.
Na Ndivyo Itakavyo Kuwa
Yanga SC kwa jinsi walivyoathirika Kisaikolojia kwa sasa nina wasiwasi kuwa huenda mechi yake na Azam FC basi Kipa Wao Kindoki akaingia Nyavuni mara Tano Kuokota mipira iliyoingia Golini Kwake. Tayari Yanga SC wameshavurugika na wanaanza kupotea kabisa. Naanza kuziona dalili za Watu Kuchapa Bakora pale Jangwani muda si mrefu.