Nna vision ya mbali ndo maana nakubaliana na mabadiliko ya sasa.
Kimataifa Hans ameshindwa kuonyesha ubora wake,,ndio timu imeingia makundi lakini kupitia kibonde....na bado tukawa wa mwisho kwenye kundi.....
Kuna baadhi ya matatizo sugu kwenye timu kashindwa kuyatatua.