Kocha na Wachezaji wa Simba SC bado wana tatizo la kushindwa kumsoma Mpinzani

Kocha na Wachezaji wa Simba SC bado wana tatizo la kushindwa kumsoma Mpinzani

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Hili lipo tokea Miaka mi 3 nyuma iliyopita ambayo Yanga katawala soka la Tanzania.

Ndio kitu hata Match ya Leo kimewa adhibu Simba SC bado kila kocha anaekuja Simba hana uwezo wa kumsoma mpinzani hasahasa akiwa nae Live.

Makocha wa Simba wanasoma Mchezo kabla na sio ukiwa unaendelea. Hilo the same kwa Wachezaji wa Simba SC wanakua na akili zile ambazo walikuja nazo kabla ya mchezo.

Yan I meana Simba wanatakiwa wawe KINYONGA.

Kitu ambacho Yanga mda wote anafaulu dhidi ya Simba au dhidi ya wapinzani wagumu ambao hua anakutana nao.

Soma Pia: FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Simba leo waliingia na Technique ya kukimbia na mpira plus pasi ndefu ukiangalia match imechezwa kwa style ile hadi ule mda anaingia Ngoma, Kijili, Fred ndio Simba wakaanza kucheza Pasi fupifupi na kwa kufungua.
 
Hili lipo tokea Miaka mi 3 nyuma iliyopita ambayo Yanga katawala soka la Tanzania.

Ndio kitu hata Match ya Leo kimewa adhibu simba bado kila kocha anaekuja simba hana uwezo wa kumsoma mpinzani hasahasa akiwa nae Live.

Makocha wa Simba wanasoma Mchezo kabla na sio ukiwa unaendelea...hilo the same kwa wachezaji wa simba wanakua na akili zile ambazo walikuja nazo kabla ya mchezo.

Yan I meana simba wanatakiwa wawe KINYONGA.
Kitu ambacho Yanga mda wote anafaulu dhidi ya Simba au dhidi ya wapinzani wagumu ambao hua anakutana nao.

Simba leo waliingia na Technique ya kukimbia na mpira plus pasi ndefu ukiangalia match imechezwa kwa style ile hadi ule mda anaingia NGOMA,KIJILI,FREDY ndio simba wakaanza kucheza Pasi fupifupi na kwa kufungua.
Kuna MAKU mmoja alifungua uzi akasema yanga akifungwa na simba huwa wanatulia na wanajua hiyo ni hali ya mchezo ila simba wakifungwa wanatimuana ngoja tuone simba watafukuzwa wangapi.
 
simba watafute kocha mzuri wa viungo tu inatosha.
hawa watoto bado miili yao milenda haijakauka.
mtu kama huyu anapiga mpira anaenda na mwili mzima unategemea nini.
 

Attachments

  • Screenshot_20240808-222954_X.jpg
    Screenshot_20240808-222954_X.jpg
    155.1 KB · Views: 8
Simba Ina player wazuri, tatizo wana mihemko .
Muangalie MUTALE ni mzuri mnoo ila anaharaka na kasi isiyo na malengo.

Goal huzaliwa kwa movement, sasa unamkuta Mtu anaharaka utazan anacheza pekeyake. Hii itawacost sana.
 
Back
Top Bottom