Kocha Nabi wala Kaizer Chiefs hawawezi kumchukua wala kumtaka Fiston Mayele

Kocha Nabi wala Kaizer Chiefs hawawezi kumchukua wala kumtaka Fiston Mayele

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wakati maumivu ya kuondoka kwa "Profesa" Nabi bado hayajapoa, kumekuwa na uvumi kuwa kuna uwezekano baadhi ya wachezaji akiwemo Fiston Mayele kujiunga naye huko alipokwenda.

Ukweli ni kuwa Mayele pamoja na Aziz Ki ni baadhi ya wachezaji aliokuwa anawavumilia tu kutokana na kuwa ni vipenzi vya mashabiki na viongozi. Ila ukweli ni kuwa mapungufu hasa ya Aziz Ki yalikuwa yanamuumiza kichwa sana hadi kupelekea mara kadhaa kumuweka benchi au kumtoa hata kama ametoka kufunga goli.

Kwa upande wa Mayele, ni mchezaji anayejituma sana na alimpenda kwa hilo ila upungufu wake mkubwa ni kuwa mzito kushea mipira kwa wenzake walio kwenye nafasi nzuri zaidi za kufunga na pia siyo mtumiaji mzuri sana wa nafasi. Mayele ni ngumu sana kuvutia timu yoyote kubwa kutokana na sababu hizi.

Wachezaji ambao walikuwa vipenzi vya Nabi ambao hadi wakati anaondoka walikuwa na viwango vya kuridhisha ni Diarra, Bacca, Dickson Job na Aucho. Kama mnadhani kuna mchezaji anaweza kumchukua waangalieni hao.
 
Wakati maumivu ya kuondoka kwa "Profesa" Nabi bado hayajapoa, kumekuwa na uvumi kuwa kuna uwezekano baadhi ya wachezaji akiwemo Fiston Mayele kujiunga naye huko alipokwenda.

Ukweli ni kuwa Mayele pamoja na Aziz Ki ni baadhi ya wachezaji aliokuwa anawavumilia tu kutokana na kuwa ni vipenzi vya mashabiki na viongozi. Ila ukweli ni kuwa mapungufu hasa ya Aziz Ki yalikuwa yanamuumiza kichwa sana hadi kupelekea mara kadhaa kumuweka benchi au kumtoa hata kama ametoka kufunga goli.

Kwa upande wa Mayele, ni mchezaji anayejituma sana na alimpenda kwa hilo ila upungufu wake mkubwa ni kuwa mzito kushea mipira kwa wenzake walio kwenye nafasi nzuri zaidi za kufunga na pia siyo mtumiaji mzuri sana wa nafasi. Mayele ni ngumu sana kuvutia timu yoyote kubwa kutokana na sababu hizi.

Wachezaji ambao walikuwa vipenzi vya Nabi ambao hadi wakati anaondoka walikuwa na viwango vya kuridhisha ni Diarra, Bacca, Dickson Job na Aucho. Kama mnadhani kuna mchezaji anaweza kumchukua waangalieni hao.
Hatimae msemaji wa Nabi kapatikana
 
IMG_2371.jpg

Nasikia wanataka kumsajili Chief Mangungo wa Msovero
 
Halafu hamna uvumi kuna timu inamtaka. Labda tuanzishe uvumi tuone reaction yao 🤣😂
Hata uanzishe uvumi hawata stuka watasema bora ameondoka na hiyo timu inayoenda kumsajili tumeiuzia mbuzi kwenye gunia
 
Wakati maumivu ya kuondoka kwa "Profesa" Nabi bado hayajapoa, kumekuwa na uvumi kuwa kuna uwezekano baadhi ya wachezaji akiwemo Fiston Mayele kujiunga naye huko alipokwenda.

Ukweli ni kuwa Mayele pamoja na Aziz Ki ni baadhi ya wachezaji aliokuwa anawavumilia tu kutokana na kuwa ni vipenzi vya mashabiki na viongozi. Ila ukweli ni kuwa mapungufu hasa ya Aziz Ki yalikuwa yanamuumiza kichwa sana hadi kupelekea mara kadhaa kumuweka benchi au kumtoa hata kama ametoka kufunga goli.

Kwa upande wa Mayele, ni mchezaji anayejituma sana na alimpenda kwa hilo ila upungufu wake mkubwa ni kuwa mzito kushea mipira kwa wenzake walio kwenye nafasi nzuri zaidi za kufunga na pia siyo mtumiaji mzuri sana wa nafasi. Mayele ni ngumu sana kuvutia timu yoyote kubwa kutokana na sababu hizi.

Wachezaji ambao walikuwa vipenzi vya Nabi ambao hadi wakati anaondoka walikuwa na viwango vya kuridhisha ni Diarra, Bacca, Dickson Job na Aucho. Kama mnadhani kuna mchezaji anaweza kumchukua waangalieni hao.
Wanadam tunapenda sana kuongea kulingana na mitazamo yetu...huyu nae anawasilisha mtazamo wake kinafiki....wewe n nan yake Nabi mpka akuambie hayo au ulimsikia wapi..acha kukurupuka humu tumo watu wenye staha zetu..jenga hoja sio umbea🤨🤨
 
Wanadam tunapenda sana kuongea kulingana na mitazamo yetu...huyu nae anawasilisha mtazamo wake kinafiki....wewe n nan yake Nabi mpka akuambie hayo au ulimsikia wapi..acha kukurupuka humu tumo watu wenye staha zetu..jenga hoja sio umbea🤨🤨
"Wanadam tunapenda sana kuongea kulingana na mitazamo yetu". Ungezingatia maneno hayo uliyoandika mwenyewe wala usingehangaika na mimi.
 
Back
Top Bottom