SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
- Thread starter
- #21
Wote hawa Nabi, Mayele si wa kiwango hicho, wasikilize Yanga wenyewe wanayosema kuhusu Nabi baada ya kuondoka. Sasa hivi wanamsifia Mkude ila walikuwa wanakandia wachezaji wote wa Simba na kuwaita wazee na wabovu.Mbona nasikia na kaizer hawajamchukua Nabi