Kocha Nasreddine Nabi alalamikia uongozi muda wa pre-season

Kocha Nasreddine Nabi alalamikia uongozi muda wa pre-season

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Kwa mujibu wa gazeti CHAWA la HOME SHOPPING CENTRE ni kwamba kocha mwarabu toka Tunisia haridhiki na maandalizi, yaani wazungu wanasema WRITING ON THE WALL. Mwarabu alianza kusema UTOPOLO FC itachukua siku 90 kuunganika, akataka kabla ya kukutana na washindi wa pili wa ligi ya nigeria THE MIGHTY RIVERS UTD anataka siku ya ijumaa na jumamosi watumie uwanja wa mkapa kufanya mazoezi sababu KALE KA UWANJA CHA KIGAMBONI WALICHOFANIKIWA KUWAFUNGA PAN AFRICAN NA FRIENDS RANGERS KANA 40 Mitaz TU hilo limeshindikana pia

KIFUATACHO CHINI NI NUKUU YA CHAWA WA GSM MWANASPOTI SITAKI MASWALI...HIVI AUCHO NA MDAKA GOLOLI WAMEFIKA

===========


Nabi ataja mastaa anaowataka Yanga​

TUESDAY SEPTEMBER 07 2021​

nabi.jpg

Kocha mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi anasema kikosi chake msimu huu kuna wachezaji wengi wazuri ambao wamekosa muda wa kufanya maandalizi ya kutosha zaidi (Pre season), ambayo ingewajenga na kuonyesha ubora katika mashindano yote.

“Msimu huu kutokana na upana wa kikosi cha Yanga wachezaji ambao watakuwa wanafanya vizuri katika mazoezi ndio ambao watapata nafasi ya kucheza kwani nafanya hivyo ili kupata ushindani kuanzia kwetu,” alisema Nabi.

Makambo anasema wakati anaondoka kwenye kikosi cha Yanga hapakuwa na wachezaji wengi wazuri kama waliokuwepo wakati huu, ila kwa upande wake amejipanga kupambana kuanzia mazoezini mpaka kwenye mechi ili kupata nafasi ya kucheza zaidi.

“Yanga ya msimu huu imeimarika katika maeneo mengi naimani ushindani utakuwepo ndani yetu wachezaji lakini ndio utakuja kuakisi matokeo mazuri katika mechi ambazo tutacheza,” anasema Makambo ambaye ameweka hadharani anataka kufunga zaidi ya mabao 17, ambayo alifunga mara ya mwisho kwenye Ligi Kuu Bara.

Mwananchi
 
Makorokoro fc iko inatapeliwa na Mo.

Wajinga ndio waliwao.
 
Punguza kuishobokea Yanga jombaa
Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
 
Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
toto white nalo tamu lile nasikia sasa hicvi lina basha wake dubai huwa linaitwa mapumziko kule sema lina tamaa sana ya hela
 
Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
Una ID ngapi humu ndani jombaa?
 
Back
Top Bottom