Kocha Ramovic: Ligi Kuu Tanzania ni Dhaifu Ndio Maana Yanga Imetolewa

Kocha Ramovic: Ligi Kuu Tanzania ni Dhaifu Ndio Maana Yanga Imetolewa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Duu Kwa matusi haya inafaa afutwe kazi akafundishe huko kwenye Ligi imara


Kocha yanga.png
 
Ni dhaifu kwa sababu yanga mechi zao wanatafuniwa akicheza na prisons,dodoma jiji,sijui kagera wanamimina tu magori mpaka ya mkono wanashangilia meno njee kazi zishafanyika nje ya uwanja zikija mechi za simba ndo izo timu kama prisons zinakamia mno na simba kisa ahadi za motisha ya mamilioni unakuta simba wanashinda kwa mbinde au suluhu zikija mechi kubwa simba wanajua pa kutokea mc alger na costantine zote za algeria na costantine ndo anaongoza ligi ya algeria mbona simba kashinda licha ya ubora wa ligi yao.
 
Basi ni mpumbavu huyo, udhaifu wa League anaupimaje wakati washindani wao walikuja kulinda matokeo badala ya kucheza?

Anawezaje kwenda kufundisha kwenye ligi dhaifu? Udhaifu wa Ligi ya huko bongo anaifananisha na ligi ipi? Anapaswa kutoka hadharani na kuomba radhi au uongozi wa Yanga usitishe naye Mkataba sababu Yanga itaendelea kucheza ligi hiyohiyo ambayo kwake haitoshi kuiandaa timu ka mashindano ya kimataifa.
Amepewa timu yenye kila kitusasa anataka kudai timu ihamishwe ligi? Si bora angejifichia kwenye kichaka cha kujenga timu?
 
Ni dhaifu kwa sababu yanga mechi zao wanatafuniwa akicheza na prisons,dodoma jiji,sijui kagera wanamimina tu magori mpaka ya mkono wanashangilia meno njee kazi zishafanyika nje ya uwanja zikija mechi za simba ndo izo timu kama prisons zinakamia mno na simba kisa ahadi za motisha ya mamilioni unakuta simba wanashinda kwa mbinde au suluhu zikija mechi kubwa simba wanajua pa kutokea mc alger na costantine zote za algeria na costantine ndo anaongoza ligi ya algeria mbona simba kashinda licha ya ubora wa ligi yao.
Yanga na Simba wote ni mbeleko
 
Duu Kwa matusi haya inafaa afutwe kazi akafundishe huko kwenye Ligi imara


View attachment 3207260
Muongo yeye mwenyewe ndiye dhaifu bado hawezi kutambua uwezo binafsi wa wachezaji hasa Dube na Msonda, kwa maoni yangu Pacome yuko vizuri kuliko Msonda kwa maana hiyo ili kupata matokeo tarehe 18-01-2025 ilitakiwa aanze pacome
 
Back
Top Bottom